Ukimuona Arsenal juu ni sawa na kumuona tumbili mjini ujue kaletwa na muda wowote anaondolewa...mkuu, arsenal wana allergy na makombe...wanakaribia kabisa kuchukua kombe lao la jadi la BIG FOUR. arsenal oyeeee!
Nataka kutoa pole kwa wafiwa,Eti Mbona siwaoni wameenda wapi? Na Maiti iko Mochwarii au iko ndani???SAY WHAT????!!!!!!!!!!!!
![]()
Hongereni kwa kuzoa point 3 na bao 3 leo OT. TeheteheteheeeAs salaam aleikhum waungwana wenzangu ni super sunday nyingine tunaelekea OT kufanya lile tulilolifanya Emirates hakuna namna tunazihitaji pointi 3 leo.
Cech
Berrelin
Nacho
Gabriel
Koscielny
Coqueln
Ramsey
Walcott
Welbeck
Ozil
Sanchez
Salamu leo ameipataNaihifadhi hii comment for future use
Mbinu tumeziona leo...chipukizi wamewapiga 3 Je Messi na utatu wake wiki ijayo Barcelona mtauweza?Jumapili kilio kiko kwa LVG kama Wenger atatumia mbinu aliyotumia kwa Barca hakuna hadithi ingine hapo.
Soka lingechezwa mdomoni Tanzania tungechukua World Cup....Jumapili ni siku ya mwisho ya LVG kujitetea na kuendelea na kibarua chake. Mashetani wakibamizwa, Wanahabari wa UK watamsomea buriani. Wenger akitumia mbinu zile za juzi dhidi ya Barca anashinda mechi yake dhidi ya mashetani. Ni wazi Wenger atamwanzisha Welbeck ili kuwachokoza Man United.
Arsenal's Premier League form at Old trafford: LDLLLLLDL
huu msiba niliambiwa hawasafirishi sasa imekuwaje tena??Nataka kutoa pole kwa wafiwa,Eti Mbona siwaoni wameenda wapi? Na Maiti iko Mochwarii au iko ndani???
Salamu leo ameipata
RRONDO nimekusogezea hili file hapa maana alitaka lihifadhiwe kwa matumizi ya baadaeSikubaliani na wewe kua kupigwa na Barca kutaifanya Arsenal wapoteane ki-uhalisia jana dunia ilijua kua Arsenal tulikua underdogs ni kweli maumivu ya kufungwa yapo lakini sio kama yale ya Monaco bado naamini Arsenal watakua focused kwenye ligi naomba na hii coment itunze pia kwa matumizi ya baadae hasa baada ya game yetu pale OT hakika utakubali mziki ambao utapigwa siku hiyo.
... Au baadae yake bado??