Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
kama ulivyibakia unafurahia every defeat of arsenal na kuomba njaaNdio kilichobaki saizi, wenzenu wanafurahia kuchukua EPL nyie mnafurahia kumaliza above utd
kama ulivyibakia unafurahia every defeat of arsenal na kuomba njaaNdio kilichobaki saizi, wenzenu wanafurahia kuchukua EPL nyie mnafurahia kumaliza above utd
Hahahaaaa njaa kwa assnail ni constant, it's only a matter of time, na muda wenyewe ukishafika ndio furaha yetu, ila hatuiombei maana tunajua ipo tu.kama ulivyibakia unafurahia every defeat of arsenal na kuomba njaa
Hahahaaaa njaa kwa assnail ni constant, it's only a matter of time, na muda wenyewe ukishafika ndio furaha yetu, ila hatuiombei maana tunajua ipo tu.
Kazana kuomba njaamoment kama hio unamsikia mtangazaji anasema 'Messi is going to work now...........'Kijiji
Ila wewe shujaa wenzio wote wako mafichoni!kama ulivyibakia unafurahia every defeat of arsenal na kuomba njaa
Kijiji
You will never catch a team with 10 points ahead of you from FEBRUARY may we ni mgeni wa EPL, tena mbaya zaidi timu lako Bovuu
Komaa na WEST HAM, LIVERPOOL, SOUTHAMPTON hawa uko nao level moja you may finish above them
Mimi nilicheka sana , nilipoona substitution ya Flamini. Nilimwambia jamaa mmoja mpenzi wa Arsenal, Tegemea kadi ya njano kwa Flamini au bao la pili. Haikupita dakika 2 naona mwamuzi ananyoosha mkono na kusema tuta.Matokeo ya jana sio jambo la ajabu kwetu...ila kama yatatokea jumapili litakua jambo la ajabu sana duniani
Jaribu kuvaa viatu vya Arsenal,ivi ingekua timu yako ndio imecheza na Barca hii Je ungekuja hapa na lawama kwa timu pamoja na benchi lote kua kwa nini mmepoteza game,frankly speakin' mimi naichukia Barca vibaya mno kwa kua mi ni mnazi wa Madrid pia kwa muda mrefu ila ukweli usemwe hawa wendawazimu wapo kwenye ubora wao na tusiowapenda tunasubiri anguko lao leo au kesho tufanye sherehe.Mashabiki wa Arsenal mko flexible sana kubadilika Prof Wenger anaweza sana kucheza na akili zenu
Arsenal ni average tuki-compare na nani mkuu?Msichokijua ti,u yenu ni so avaerage kama timu zingine tu za EPL
Hujui history mkuu, kumbuka vizuri.
hakuna ushujaa kivileIla wewe shujaa wenzio wote wako mafichoni!
Huna tofauti na yule aliesema 'wamenipiga viwili kwa mbindeeee, sio kirahisi rahisi'hakuna ushujaa kivile
unapocheza na timu ya barca you know what you can expect, japokuwa unajipa matumaini kuwa inaweza kutokea mkashinda you lower your expectations and relax
kipigo kutoka kwa barca hakiumi sana ukizingatia umepigwa na best team in the world kwa sasa
kipigo kinachokera kama ulichopigwa na kitimu kimenza mwaka 1999 mittyland, au kufungwa na Team kama Bournamouth, aston villa, au upigwe na manure timu ambayo kwa sasa imepoteza mwelekeo kabisa....hapa lazima usikie Hasira
ndo maana mi niko pouwa kabisa sina tatizo.....
Nimekosea Arsenal sio average ni best team level za akina bayern,barcelona.....Arsenal ni average tuki-compare na nani mkuu?
Ndio alichotaka kusikia huyo jamaa sasa nifanye nini mkuu? Wacha nimwambie apendacho kusikia.Hahahaaa ushabiki mwingine bhana wa ajabu sana.. eti best team level za wanaume, hàya bana endeleeni tu kujifuraisha ndio life yenyewe
Nimekosea Arsenal sio average ni best team level za akina bayern,barcelona.....
Hakuna maajabu ya manchester kuikamata Arsenal, manure is a sinking ship huo ndo ukweli unaowaumiza sana ila muukubali tu.....kwa sasa mna mission impossible ya kuingia Top Four,oooh sorrr top 6 mcheze hata EUROPA league
kama kuna shabiki anaamini mnaingia Top four with expense of Arsenal mpelekeni milembe......he must be a day dreamer
Mimi nilicheka sana , nilipoona substitution ya Flamini. Nilimwambia jamaa mmoja mpenzi wa Arsenal, Tegemea kadi ya njano kwa Flamini au bao la pili. Haikupita dakika 2 naona mwamuzi ananyoosha mkono na kusema tuta.
Yule jamaa wa Arsenal aliniuliza kwa nini ulisema juu ya flamini?
Nilimwambia huyu Flamini ni kawaida kupata Kadi za njano kwa tackles anazofanya.
Reality check imetimia.
Arsenal walishindwa kutumia nafasi walizozipata, sasa ni majuto na maumivu tu.
Jumapili ni siku ya mwisho ya LVG kujitetea na kuendelea na kibarua chake. Mashetani wakibamizwa, Wanahabari wa UK watamsomea buriani. Wenger akitumia mbinu zile za juzi dhidi ya Barca anashinda mechi yake dhidi ya mashetani. Ni wazi Wenger atamwanzisha Welbeck ili kuwachokoza Man United.kuna jamaa alikua pembeni yangu pia alimwambia mwenzie hivyo hivyo, kweli kikahappen ............... Arsenal ni cha wote. wapigwe tu mana hamna namna nyingine, na jpili wapigwe tu.