Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Dawa ya hao baca ni chelsea peke yake hakuna mwingine
Hahahaaaa wachekesha kibangaaa....kuifunga man city 4 ndio mmejiona mpo juu wakati mastaa wengi cku iyo hawakuemo, Aguero,toure,silva,raheem,de brune nk..... VIVA BARCA weka mbali na watoto