Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

lvg-nd-wenger-jpg.326287

Mnafikiri ubingwa ni makalio .............mpigwe tu manina, bora achukue spurz au Leceister
 
Sikubaliani na wewe kua kupigwa na Barca kutaifanya Arsenal wapoteane ki-uhalisia jana dunia ilijua kua Arsenal tulikua underdogs ni kweli maumivu ya kufungwa yapo lakini sio kama yale ya Monaco bado naamini Arsenal watakua focused kwenye ligi naomba na hii coment itunze pia kwa matumizi ya baadae hasa baada ya game yetu pale OT hakika utakubali mziki ambao utapigwa siku hiyo.
Naona akili imekukaa sawa sasa.............
 
Nakuja OT nakuchapa Viboko vya kutosha

jana sie Die hard fans tulikuwa tunatemesha jukwaa tu...game tulijua ni ngumu sana kwetu hakuna cha kuogopa ogopa wala short memory

game imeisha UCL imeisha

Next Game OT tuonane Jumapili saa 10 hapa jukwaani manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu
Yametimia..............
Naweka hii post kwa matumizi ya baadae.......
 
Nakuja OT nakuchapa Viboko vya kutosha

jana sie Die hard fans tulikuwa tunatemesha jukwaa tu...game tulijua ni ngumu sana kwetu hakuna cha kuogopa ogopa wala short memory

game imeisha UCL imeisha

Next Game OT tuonane Jumapili saa 10 hapa jukwaani manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu
"...manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu"
ImageUploadedByTapatalk1456683883.581613.jpg
 
kashengo najua unaugulia maumivu bila shaka wale madaktari makinda wameng'oa yale meno matatu ya mbele bila ganzi wahitaji kumpumzika nakuombea upone haraka uje utusimulie maumivu uyapatayo pindi ung'olewapo meno bila ganzi tena na madaktari makinda
 
mkuu hata mi simjui jina....kuna mwingine tena aliingia badala ya Rojo sijui nae anitwa nani! ana mwili kama mcheza rugby
Hata mimi nimesahau majina yao. Labda Wacha 1 na rubaman wanayafahamu majina yao
 
kashengo najua unaugulia maumivu bila shaka wale madaktari makinda wameng'oa yale meno matatu ya mbele bila ganzi wahitaji kumpumzika nakuombea upone haraka uje utusimulie maumivu uyapatayo pindi ung'olewapo meno bila ganzi tena na madaktari makinda
nilimwambia kashengo hiki ndio kipindi cha cha kupoteana......wamefungwa na barca,wamefungwa na man utd, kuna EPL tena midweek, halafu kuna ligi weekend ijayo, katikati ya week tena inabidi warudiane na hull city baadae weekend kuna FA cup then jumatano wanacheza na barca! wakishatumbuliwa na barca wanakutana na Everton! watacheza game 4 ndani ya siku 11 hapo kwenye hio ratiba, kuna kilichobaki hapo?!
vs swansea jumatano
vs totenham jumamosi
vs hull city jumanne
vs wes brom jumamosi
vs barcelona jumatano
vs everton jumamosi

mechi sita mwezi march
 
Huyu jamaa nimemmiss atakuwa kapatwa na janga sio sure..kimya sana
Huyu jamaa anaijua vizuri timu yake, anajua kuwa huu ndio muda wa kuporomoka ndio maana kaamua ajikalie kimya, ila wale wenzangu na Mimi ndio wanajifanya kichwa ngumu
 
Huyu jamaa anaijua vizuri timu yake, anajua kuwa huu ndio muda wa kuporomoka ndio maana kaamua ajikalie kimya, ila wale wenzangu na Mimi ndio wanajifanya kichwa ngumu

ArsayNO February huwa mwanzo wa majanga
 
Back
Top Bottom