Matokeo ya jana sio jambo la ajabu kwetu...ila kama yatatokea jumapili litakua jambo la ajabu sana duniani
Naona akili imekukaa sawa sasa.............Sikubaliani na wewe kua kupigwa na Barca kutaifanya Arsenal wapoteane ki-uhalisia jana dunia ilijua kua Arsenal tulikua underdogs ni kweli maumivu ya kufungwa yapo lakini sio kama yale ya Monaco bado naamini Arsenal watakua focused kwenye ligi naomba na hii coment itunze pia kwa matumizi ya baadae hasa baada ya game yetu pale OT hakika utakubali mziki ambao utapigwa siku hiyo.
Yametimia..............Nakuja OT nakuchapa Viboko vya kutosha
jana sie Die hard fans tulikuwa tunatemesha jukwaa tu...game tulijua ni ngumu sana kwetu hakuna cha kuogopa ogopa wala short memory
game imeisha UCL imeisha
Next Game OT tuonane Jumapili saa 10 hapa jukwaani manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu
Naweka hii post kwa matumizi ya baadae.......
"...manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu"Nakuja OT nakuchapa Viboko vya kutosha
jana sie Die hard fans tulikuwa tunatemesha jukwaa tu...game tulijua ni ngumu sana kwetu hakuna cha kuogopa ogopa wala short memory
game imeisha UCL imeisha
Next Game OT tuonane Jumapili saa 10 hapa jukwaani manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu
Nikukumbushe jina lake?hata jina simjui........
![]()
Amepotea humu mda kidogo aiseeHuyu jamaa nimemmiss atakuwa kapatwa na janga sio sure..kimya sana
mkuu hata mi simjui jina....kuna mwingine tena aliingia badala ya Rojo sijui nae anitwa nani! ana mwili kama mcheza rugbyNikukumbushe jina lake?
Hata mimi nimesahau majina yao. Labda Wacha 1 na rubaman wanayafahamu majina yaomkuu hata mi simjui jina....kuna mwingine tena aliingia badala ya Rojo sijui nae anitwa nani! ana mwili kama mcheza rugby
nilimwambia kashengo hiki ndio kipindi cha cha kupoteana......wamefungwa na barca,wamefungwa na man utd, kuna EPL tena midweek, halafu kuna ligi weekend ijayo, katikati ya week tena inabidi warudiane na hull city baadae weekend kuna FA cup then jumatano wanacheza na barca! wakishatumbuliwa na barca wanakutana na Everton! watacheza game 4 ndani ya siku 11 hapo kwenye hio ratiba, kuna kilichobaki hapo?!kashengo najua unaugulia maumivu bila shaka wale madaktari makinda wameng'oa yale meno matatu ya mbele bila ganzi wahitaji kumpumzika nakuombea upone haraka uje utusimulie maumivu uyapatayo pindi ung'olewapo meno bila ganzi tena na madaktari makinda
We huyo sio mchezaji wa man unitedNikukumbushe jina lake?
Hahahaha wa timu ipi huyo?We huyo sio mchezaji wa man united
Labda wa Nottingham ForestHahahaha wa timu ipi huyo?
Huyu jamaa anaijua vizuri timu yake, anajua kuwa huu ndio muda wa kuporomoka ndio maana kaamua ajikalie kimya, ila wale wenzangu na Mimi ndio wanajifanya kichwa ngumuHuyu jamaa nimemmiss atakuwa kapatwa na janga sio sure..kimya sana
Huyu jamaa anaijua vizuri timu yake, anajua kuwa huu ndio muda wa kuporomoka ndio maana kaamua ajikalie kimya, ila wale wenzangu na Mimi ndio wanajifanya kichwa ngumu

Done & dusted
kashengo
Nini kilichokufanya ulete "fyokofyoko" ya mdomo ndugu grafani11?Soka lingechezwa mdomoni Tanzania tungechukua World Cup....