magagafu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,196
- 1,309
Jumapili pia tunataka uje na hadithi nyingine🙁😀😀Mimi nilicheka sana , nilipoona substitution ya Flamini. Nilimwambia jamaa mmoja mpenzi wa Arsenal, Tegemea kadi ya njano kwa Flamini au bao la pili. Haikupita dakika 2 naona mwamuzi ananyoosha mkono na kusema tuta.
Yule jamaa wa Arsenal aliniuliza kwa nini ulisema juu ya flamini?
Nilimwambia huyu Flamini ni kawaida kupata Kadi za njano kwa tackles anazofanya.
Reality check imetimia.
Arsenal walishindwa kutumia nafasi walizozipata, sasa ni majuto na maumivu tu.