tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,867
- 25,193
heee... 😡
ni macho yangu au nimeona vibaya?
utakuwa unaota.
heee... 😡
ni macho yangu au nimeona vibaya?
Duh mkuu umesahau hao Asernal kama sikosei ilikuwa 2004/2005 walipigwa 3 bila na Inter walivyoenda kule Inter akapigwa 5-1.
1969 Mbali sana.
Tulifungwa kwa bahati mbaya,Arsenal hatuna bahati mwaka huu.
Mwenzako kasema QF sasa hiyo ilikua QF au Group Stages??
Monaco wana miss five first team players na bado wamewa outplay gunners home!!
Mpira sio mchezo wa kubahatisha
daah jamaa walituadhibu na ilikuwa ni poor perfomance from the Gunners.
Monaco pia walikuwa vizuri katika deffence na kama kawaida Arsenal wanapocheza na timu yoyote kubwa wakitangulizwa wanapanda kushambulia na kusahaau nyuma na hapo ndipo unawapiga magoli ya counter attack.
Yote kwa yote hongera sana kwa Monaco.
Kuna mahali Wenger ameshindwa, Kuna sehemu tactics za Wenger zimefeli. Ni fedheha sana...
sasa sipati picha watakaporudiana wakiwa kamili na wakwa nyumbani kwao. usidhani kwamba moto huu ambao watoto wameanza nao emirates utazimika watakaporudi kwao. thubutu! tena nyumbani kwao ndipo watatafuta sifa kabisa. acha kabisa ndugu yangu.
Hivi kocha aliyekaa miaka yote hiyo, hajaweka tactics zake sawa?!?
Kwa kweli babu sub zake ni utata! Ila ye ndo anawajua wachezaji wake vizuri, tumuachie hilo.
Yote kwa yote naamini Szczesny ni bora kuliko Ospina. Angeweza kuchomoa angalau goli la 1 & la 3
2-1 mngejipa tamaa, 3-1 ni kibarua kizito, almost impossible.
3 Away goals for Monaco, tayari wameshinda bahati nasibu.
Ahsante sana Mkuu inawezekana kabisa lakini kazi ngumu hasa ukitilia maanani hawa jamaa wamepata magoli matatu ya ugenini. Tunaweza kuwafunga goli tatu lakini wameshagundua ngome yetu ni uchochoro tu unakatiza tu je tukifunga hizo goli tatu tutaweza kuwazuia wasipate hata goli moja!? Maji marefu Mkuu ila inawezekana kuishangaza dunia ya wapenda soka.
Kwa Arsenal hii wakienda Monaco hata sare hawapati
Hawa wameisha tolewa wajiandae tu na Europa League yao maana kikosi chao hiki hawawezi qualify CL mwakani
Mpira haupimwi hivyo!
Ebu cheki, Swansea inaifunga Manu, Liver inafungwa na Manu, na Liver inaifunga Swansea!!
Kwa tafsiri yako, Liver hapa haikutakiwa kufungwa na Manu.
Mpira unadunda, Arsenal tumewahi pigwa 3-0 Highbury na Internazionale ktk UCL kama kumbukumbu zangu zipo sahihi zaidi, tukaenda Italy tukawakung'uta 5-1 na kusonga mbele, wala sio mbali saana, kizazi cha Henri, na Henri alipiga hat trick, nachojaribu kusema ni kwamba mpira unadunda na matokeo hayo yanawezekana!
aseno wajihesabu wametoka. unadhani watoto hawawezi kupata goli 1 nyumbani?
Sasa funga kazi ya kituko ni Liverpool msimu huu wa UCL, nilishangaa walipocheza na Real Madrid pale bernabeu, Liver walikuwa wanahitaji matokeo, walichofanya ni kupumzisha key players kwa ajili ya mechi iliyofuata ambayo ilikuwa ni Chelsea ili waqualify UCL. Matokeo ni kwamba mechi zote walichezea.
Yaani wanaingia UCL, alafu wakishaingia wanapumzisha wachezaji muhimu ili wawachezeshe ktk mechi "muhimu" za ku-qualify UCL, logic iko wapi?
Kwa lugha nyingine, Liver wanaona raha kushiriki UCL, sio kushindana, hawapaswi kuwacheka Arsenal kwa sasa!
TAFADHARINI ndugu zangu wa Liver, nakuombeni msiwe predictable hapa, msianze kutoa historia ya miaka ya 80s.
.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....