Halafu walikuwa wanachukuliwa vibonde ati!!!
Hii ni fedheha kubwa sana kiongozi. AS Monaco kutupiga 3-1 Emirates!!! If I were Wenger ningebwaga manyanga.
Nzi
Wenyeji wapo wapi kwenye jukwaa hili?
Kumbe hawa jamaa wanakuwa wapo active Utd akifungwa au akitoka sare
Hakuna cha Ozil wala Wenger...hii timu ina laana. Full stop. Khaa!!
Defence yetu mgogoro hili siyo siri, maji marefu kwenye mchezo ujao but we're capable of beating them 3-0 provided that we play with sense of purpose and determination.
Kuna mahali Wenger ameshindwa, Kuna sehemu tactics za Wenger zimefeli. Ni fedheha sana...
Kuna mahali Wenger ameshindwa, Kuna sehemu tactics za Wenger zimefeli. Ni fedheha sana...
Ghafla nilitamani ningekua kocha wa Arsenal yaani baada ya sab za wenger nikajawa na kujiamini kabisa etu kuwa ata mimi naweza ifundisha Arsenal
Defence yetu mgogoro hili siyo siri, maji marefu kwenye mchezo ujao but we're capable of beating them 3-0 provided that we play with sense of purpose and determination.
Monaco wana miss five first team players na bado wamewa outplay gunners home!!
zimefeli baada ya cazorla kucheza 6 badala ya kucheza 10 na rosicky nyuma yake hlf ozil na giroud walitakiwa kwenda bench mapema baada ya half time pia Per alikuwa hovyo sana
Wenger anampenda sana Ozil, nimetambua tena hilo, na hampendi Carzola.
Hongera kwa AS Monako.
Tatizo tulibweteka, na pia wachezaji hadi Wenger ktk press jana alibweteka kuwa AS monaco ni kama walk in the park!! Hakusema haya maneno moja kwa moja ila ktk maneno yake alionesha kuwa sasa ni muda wa kutoa lile gundu la raund ya 16.
Ila ni mapumziko, tusubiri round ijayo ingawa SIONI tukifanya cha ajabu ila kama wametufunga kwetu basi na sisi tunaweza wafunga kwao!
Kwa kweli babu sub zake ni utata! Ila ye ndo anawajua wachezaji wake vizuri, tumuachie hilo.
Yote kwa yote naamini Szczesny ni bora kuliko Ospina. Angeweza kuchomoa angalau goli la 1 & la 3
Yote kwa yote naamini Szczesny ni bora kuliko Ospina. Angeweza kuchomoa angalau goli la 1 & la 3