Hii timu majanga...yaani mpira tucheze sisi na kumiliki sisi alafu tunafungwa sisi. Inasikitisha sana
Sijui naye wamuite msaliti kama vile RVP? Safi sana Babatov utu uzima dawa......
lakini hata hivyo tageti zao zimetimia...matarajio ni kushiriki mashindano kila mwaka. mpaka sasa aseno ndio washiriki bora wa mashindano haya...wameshiriki mara 16 mfululizo. chezea aseno na profesa wao wewe!
lakini hata hivyo tageti zao zimetimia...matarajio ni kushiriki mashindano kila mwaka. mpaka sasa aseno ndio washiriki bora wa mashindano haya...wameshiriki mara 16 mfululizo. chezea aseno na profesa wao wewe!
Arsenal fans on WENGER:
in out in
out out
in \_ in
out out
in out in
😂😂😂😂😂
Leo jamvi tumeachiwa wenyeji wote wamekimbia sijui labda 8 MB zinawasumbua...........
Target yao ni hii kwa msimu: kuhakikisha katika EPL wanashika nafasi ya 4 ili waingie kwenye UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili waingie UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili......... endeleza mwenyewe
heee... 😡
ni macho yangu au nimeona vibaya?
Acha uchokozi atiii.Kuna watu wanalia ngoja niendelee kubembeleza my dia......