Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwel hii mech ilibidi ozil aende bench kabla ya dk 45 maana hii game inahitaji misuli na nguvu hlf rosicky aingie na carzola asogee mbele, nimeumia sana ila nitaumia zaidi endapo man u watatutoa FA

Ktk FA tatizo linakuja, benchi la ufundi la Manu tayari wanao mkakati madhubuti sababu wanajua tayari mipango ya wenger na timu ya arsenal itachezaje!
Wenger yuko predictable.
 
'Mesut Ozil is a magician,he disappears in big games'
í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚

Huyu ni magician kabisaaaa, on big stage ana dissappearing acts za hatari.
 
Ahsante sana Mkuu inawezekana kabisa lakini kazi ngumu hasa ukitilia maanani hawa jamaa wamepata magoli matatu ya ugenini. Tunaweza kuwafunga goli tatu lakini wameshagundua ngome yetu ni uchochoro tu unakatiza tu je tukifunga hizo goli tatu tutaweza kuwazuia wasipate hata goli moja!? Maji marefu Mkuu ila inawezekana kuishangaza dunia ya wapenda soka.

Mkuu poleni lakini yote yanawezekana
 
Haionekani kuwa mna defense mgogoro.
Mgogoro anautengeneza Wenger. Amenunua mchezaji paulista aliyekuwa anategemewa na timu yake kule Spain, ameamua kumweka bench na kumchezesha mtoto kinda, Belarin.

Mchezaji kama Walcott, Chamberlain, Roziscky wanaingizwa inapokuwa hali imekuwa mbaya.

Tatizo liko kwenye upangaji wa kikosi na wakati muafaka wa kufanya substitutions.


Arsenal ilinunua kufungwa leo.
Msijali mko nafasi ya tatu katika PL mkibakia hapo, mtaingia tena CL mwakani.

paulista hajui kingereza hivyo ni vigumu kuwasiliana na timu yake walcott hakuanza maana wenger alihofia mashambulizi kwani welbeck ni mkabaji mzuri na ana ubavu, ila alitakiwa kuingia mapema baada ya monaco kutoshambulia sana, pia bellerin ni kinda mahir sana chamberlain ndo kwanza katoka majeruhi asingeweza kuanza tatizo limekuja baada ya kukosekana kiungo imara wakusumbua beki zao na kupiga mashut golin kwao nae huyu ni Ozil aliyecheza 10 badala ya carzola na rosicky alitakiwa kuanza nafas aliyo kuwa anacheza carzola.
Leo ozil alitakiwa kuanza bench ama kupigwa sab mapema
aliyoyasema henry baada ya mechi ya man city ndo haya tumeyaona leo alisema juu ya carzola kucheza 10 na anavyoibeba timu naamini angecheza 10 hata mambo yangekuwa tofaut sana
 
Monaco ktk group games zote 6 alifungwa goli moja tu!Arsenal wanawaza kumfunga kwake goli 3 kwenye game moja tena ktk uwanja wake!jipimeni wenyewe
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yote kwa yote naamini Szczesny ni bora kuliko Ospina. Angeweza kuchomoa angalau goli la 1 & la 3


Kipa gani ushawahi muona akichomoa deflected shots? Au wataka kutoa lawama tu kwa Ospina vile tumefungwa?

Ninachoona, bado hatujawa na standout keeper, labda tumpr Ospina msimu mmoja anaweza kuwa kipa mzuri.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Monaco ktk group games zote 6 alifungwa goli moja tu!Arsenal wanawaza kumfunga kwake goli 3 kwenye game moja tena ktk uwanja wake!jipimeni wenyewe

Mpira haupimwi hivyo!
Ebu cheki, Swansea inaifunga Manu, Liver inafungwa na Manu, na Liver inaifunga Swansea!!
Kwa tafsiri yako, Liver hapa haikutakiwa kufungwa na Manu.
Mpira unadunda, Arsenal tumewahi pigwa 3-0 Highbury na Internazionale ktk UCL kama kumbukumbu zangu zipo sahihi zaidi, tukaenda Italy tukawakung'uta 5-1 na kusonga mbele, wala sio mbali saana, kizazi cha Henri, na Henri alipiga hat trick, nachojaribu kusema ni kwamba mpira unadunda na matokeo hayo yanawezekana!
 
Mpira haupimwi hivyo!

Ebu cheki, Swansea inaifunga Manu, Liver inafungwa na Manu, na Liver inaifunga Swansea!!

Kwa tafsiri yako, Liver hapa haikutakiwa kufungwa na Manu.

Mpira unadunda, Arsenal tumewahi pigwa 3-0 Highbury na Internazionale ktk UCL, tukaenda Italy tukawakung'uta 5-1 na kusonga mbele, wala sio mbali saana, kizazi cha Henri, na Henri alipiga hat trick, nachojaribu kusema ni kwamba mpira unadunda na matokeo hayo yanawezekana!


Hata Bayern Munchen walitupiga 3-1 Emirates tukaenda kuwala 2-0 kwao. AC Milan pia, but for this one...the game is over at half time aisee..!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Labda katika ulimwengu wa maajabu, there's no way we gonna come back from 3-1 to beat them 3-0 in France...No way!

.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata Bayern Munchen walitupiga 3-1 Emirates tukaenda kuwala 2-0 kwao. AC Milan pia, but for this one...the game is over at half time aisee..!

Fingers crossed! Inawezekana, tutaenda tukiwa na tunajua tunatakiwa tufanye nini.
Hii tie imekaa vibaya, ila bado haijaisha.
Kama tukienda na purpose, na kuwapiga 2 za fasta, watapagawa!! Hii kitu inawezekana. Leo tulikuwa na off-day, na wao ilikuwa ni siku yao. Giroud kakosa sana magoli, na wao ktk makundi mechi zote nafikiri walikunga goli nne tu kama niko sahihi.
Tulikuwa na siku mbaya, ila mechi ijayo lazima Wenger akubali kwamba Santi ni No.10 bora wa Arsenal zaidi ya Ozil, la sivyo......
 
Kipa gani ushawahi muona akichomoa deflected shots? Au wataka kutoa lawama tu kwa Ospina vile tumefungwa?

Ninachoona, bado hatujawa na standout keeper, labda tumpr Ospina msimu mmoja anaweza kuwa kipa mzuri.

He was just far too static on his line today. Hopefully he will up his game ...
 
.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....

Mi naona kabisa tukienda na kupata matokeo. Ni babu akubali vitu vichache kuvibadili ktk mfumo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....


I like your spirit kiongozi...

Lakini mie nina imani haba, tuliwa underestimate Monaco, hata kwenye press conference nililiona hilo...hata sports writers wengi waliona ni game ndogo...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
View attachment 229754
rubaman mjanja aliaga mapema kabisa.. BAK sijui kapotelea wapi, hata updates hajatoa leo.. Mbu sijui kapatwa na nini Balantanda is always here?!? I doubt it 

Nilikuwa nawajibika mchana kutwa. Anyway, nimesikitishwa na matokeo. Defence yetu imerudi tulipotoka mwanzoni mwa ligi. Hii tie imeshaisha. Kilichobaki ni kugombania nafasi za CL msimu ujao, tunaweza kuipata japo kuna ushindani wa timu kibao msimu huu. Mechi za mtoano kila timu inaweza kuifunga timu yoyote na miujiza imeshatokea timu ikajiuliza na kuibuka kidedea mechi ya marudiano. Mungu ibariki Arsenal
 
Mpira haupimwi hivyo!
Ebu cheki, Swansea inaifunga Manu, Liver inafungwa na Manu, na Liver inaifunga Swansea!!
Kwa tafsiri yako, Liver hapa haikutakiwa kufungwa na Manu.
Mpira unadunda, Arsenal tumewahi pigwa 3-0 Highbury na Internazionale ktk UCL kama kumbukumbu zangu zipo sahihi zaidi, tukaenda Italy tukawakung'uta 5-1 na kusonga mbele, wala sio mbali saana, kizazi cha Henri, na Henri alipiga hat trick, nachojaribu kusema ni kwamba mpira unadunda na matokeo hayo yanawezekana!

ok isiwe tabu...tusubiri game ya marudiano ila unapaswa ujue mpira unaangaliwa vitu vingi....magoli wakati mwingine hayaelezi uwezo halisi wa timu...kuna game man utd tuliwapiga as roma kwao 7-1 ukiiangalia ile game matokeo hayafanani kabisa na kiwango alichocheza as roma ilitokea tu man utd kila tukipiga shuti kitu kambani!unahitaji bahati kumtoa monaco ila kaa ukijua kuwa...bahati sio mpango....ni kitu usichoweza kukipanga kinakuja tu
 
Back
Top Bottom