Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usiwe na wasiwasi Mkuu. Kuna wakati tulikuwa nyuma kwa point 11 na "Football analysts" wakawa wameshatuondoa kabisa katika kinyang'anyiro cha EPL 2010. Waliokuwa mbele yetu wakaanza kuteleza na sisi pamoja na kuwa na majeruhi kibao lakini tukaanza kufanya vizuri mchezo mmoja baada ya mwingine na hatimaye kuondoa pengo kubwa lilikuwepo. Sasa kama watateleza tena na tukiweza kuzipita hizi wiki mbili kwa mafanikio makubwa basi si ajabu tukawa tunaimba wimbo huu in few weeks. There it is There it is, Why it took us so long to win EPL championship...LOL! 😉

Have a great weekend Bro'

...dah,

...kaka wikiendi hii umejiaminisha kiukweli ukweli, mwenzio bado kiroho kinadundia mdomoni.
I wish Gaffer wetu angejua 'mtihani' anautupa kila msimu. Anyway, nisijesema mengi kina Eqlypz na Belo wakaja kuni quote hapa...
...SAF kaipania kweli mechi ya kesho, timu yake mdebwedo safari hii, bahati yake sana Giggs bado damu inamchemka.

Tuingoje hiyo kesho, Inshaallah.
 
wengerSPLASH_977065a.jpg


ALEX FERGUSON has told Manchester United fans to stop their vile abuse of Arsene Wenger. Fans verbally attack Wenger home and away and Ferguson wants the chants to stop, starting tomorrow at the Emirates. Ferguson said: "There's been some terrible abuse from our fans to Arsene Wenger and there must be a line drawn.

Manure knows who's their real competitor
 
Itakuwa poa sana kama hawa Burnley leo hii watatusaidia kuwasimamisha Chelsea katika safari yetu ya kuelekea kileleni 😉 Najua dua la kuku huwa halimpati mwewe lakini mara chache dua la kuku husikilizwa na muumba wake 🙂
 
Itakuwa poa sana kama hawa Burnley leo hii watatusaidia kuwasimamisha Chelsea katika safari yetu ya kuelekea kileleni 😉 Najua dua la kuku huwa halimpati mwewe lakini mara chache dua la kuku husikilizwa na muumba wake 🙂

Mafia hao watashinda wamemwaga fweza.
 
Itakuwa poa sana kama hawa Burnley leo hii watatusaidia kuwasimamisha Chelsea katika safari yetu ya kuelekea kileleni 😉 Najua dua la kuku huwa halimpati mwewe lakini mara chache dua la kuku husikilizwa na muumba wake 🙂

Mkuu unaonaje ukapigia mstari hapo kwenye dua la kukua huwa halimpati mwewe kama unaweza.
 
Natanguliza pole kwa kipigo cha Kesho! Hakuna cha Lazy Campbell kumuweza Rooney mara ya mwisho alisababisha penalty kwa huyo huyo Rooney! Poleni sana Fat Arse!
 
Itakuwa poa sana kama hawa Burnley leo hii watatusaidia kuwasimamisha Chelsea katika safari yetu ya kuelekea kileleni 😉 Najua dua la kuku huwa halimpati mwewe lakini mara chache dua la kuku husikilizwa na muumba wake 🙂
Jisaidieni wenyewe msisubiri kusaidiwa!
 
Natanguliza pole kwa kipigo cha Kesho! Hakuna cha Lazy Campbell kumuweza Rooney mara ya mwisho alisababisha penalty kwa huyo huyo Rooney! Poleni sana Fat Arse!
ujumbe huu pia kaandike kwenye jukwaa la man united kwenye rooney weka fabregas kwenye campbell weka vidic au unataka sana man united washinde ?
 
karibu sana kesho hapa usije ukawa bubu tu.alafu campbell kesho kakuandalia goli lake la kichwa utaliona.

Nishawakaribisha wote mafioso kwenye jukwaa lao. Leo wote walikuwa wameenda kuomboleza kushikwa ugoni kwa Terry. Walipata nguvu baada ya mechi. Walikuwa wanachungulia kama nguchiro khe khe khe.
 
Bado kama dakika 50 ili shughuli ya kuwanyanyasa MANU 3-2 ianze rasmi. Ushindi leo ni lazima wana GUNNERS wenzangu.
 
Van Persie back in training and set for early return!

Arsene Wenger has received a tremendous boost this week with the news that Robin Van Persie has made rapid improvement after the operation on his ankle, and is now expected to be able to help the team in the crucial latter stages of the season.
The Mail today reports that Van Persie's Dutch medical team has revised his expected return date to just seven weeks time. It seems that he is now walking freely and has resumed light training as he attempts to build his strength back up. It was originally thought that the Dutch international would be lucky to take any more part in Arsenal's season but this news will help vindicate Arsene Wenger's decision not to buy another striker this month.

The Frenchman said yesterday that he WOULD have bought another front man, if he thought that there was a good enough target to make a bid for. The Mail reported that Wenger has £30m to spend, if he wanted to, but just cannot find the right class of player.

"It is not only about wanting to buy, it is to find better players than what you have available and we haven't until now." said Wenger. "It is as simple as that. You always want to add a Ronaldo if you can, but is he available and where is he?"

"Marouane Chamakh is not available because he is playing with Bordeaux and Bordeaux don't want to release him. David Villa as well, Valencia don't want to let him go."
 
Arsenal v Man United line-ups:
Arsenal: Almunia, Sagna, Gallas, Vermaelen, Clichy, Fabregas, Song Billong, Denilson, Nasri, Arshavin, Rosicky.
Subs: Fabianski, Walcott, Ramsey, Silvestre, Eboue, Traore, Bendtner.
Man Utd: Van der Sar, Rafael Da Silva, Jonathan Evans, Brown, Evra, Scholes, Carrick, Fletcher, Nani, Rooney, Park.
Subs: Kuszczak, Owen, Berbatov, Giggs, Valencia, Gibson, De Laet.
Referee: Chris Foy (Merseyside)
 
Back
Top Bottom