Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 105
Siio kweli bra Belo, mimi nina uhakika wa kuondoka na 9 points, game ya jana ni mambo ya kawaida sana kwenye game wala sio jambo la kukatisha tamaa kihivyoPoleni sana kila siku tunasema watoto bado hao,kwenye hizi gemu 4 huenda mkaambulia point 1