Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Jiandae Juda anakuja kutoa dozi kama kawaida yake
Jiridhishe tu, mamb ya brown envelopes kwishnei. khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Jiandae Juda anakuja kutoa dozi kama kawaida yake
Mkuu Wacha1 na Gunners wengine, wala msiwe na wasiwasi bado sisi tupo mechi chache kuweza kuwa kwenye nafasi ya kunyakua ubingwa.
Walichofanya Liverpool leo ni kufungua nafasi zaidi kwa timu za juu kuwa 4 na ambazo zote zinaweza kuwa mabingwa.
Pia tumeona Man City nao wakidondosha points kwa Norwich.
Hiki ni kipindi cha Arsenal kuthibitisha kwamba wao mwaka huu wanaweza kuwa mabingwa.
Mimi ni mmoja wa wapenzi tulioshuhudia mechi ya leo live pale Anfield na naweza kusema ilikuwa awful kweli.
Wenger na timu yake wanazo sababu za kushindwa leo lakini watatoa majibu halisi jumatano dhidi ya Man Utd.
Mesut Ozil leo hakuonekana na ni afadhali angeanza Thomas Rosicky na Podolski.
Nafikiri Wenger atafanya mabadiliko kwenye mechi ijayo na tutaona Arsenal ingine kabisa siku ya jumatano.
Lakini ukiangalia sana utaona kwamba Arsenal wanafahamu wanafanya nini kwenye kampeni hii.
Tuna mechi karibu tano kuanzia Jumatano na tunaanza na Man Utd, halafu Liverpool, Bayern Munich na tutamaliza na Sunderland na ni mechi 13 zimebakia.
hasira za nn??hujiamini itachukua ubingwa.....?????....unajua maana ya upuuzi ????ungeuignore kama ni upuuzi.... mapovu yasikutoke....kipigo kimoja...unachanganyikiwa.........jukwaa huru hili....hutaki kuwa quoted...jitumie sms kwenye simu.,,yako....#Unaboa Chifu.....
Nani kazungumzia title?....
Ushawahi kuona Bala kazungumzia suala la Ubingwa?....
Acha kuniquote na upuuzi wako huu....
Bala.
......kaka unapoteza bure nguvu zako kuwajibu hawa #Mburukenge ...
Mimi humu nawajibu wale manguli wa majukwaa haya, yaani piga ua hata wakifungwa wao wapo tu wanaugulia na tai zao shingoni....
Nzi, Belo, ndio wanaostahiki kitupiana nao vijembe humu,... Wengine wanapiga kelele tuu humu huwajui hata wanashabikia nini....
Poleni the gunners kwa kuchezea mkono bana!...
kilivotupiwa cha nne nililegea nikaondokaulikuwa umelala, nne au tano?.
Sijiamini itachukua Ubingwa?....Kwa nini uniquote kwa kitu ambacho sijakizungumzia na wala sina hata wazo nacho?......#UmevurugwaWewe .....Si bure...hasira za nn??hujiamini itachukua ubingwa.....?????....unajua maana ya upuuzi ????ungeuignore kama ni upuuzi.... mapovu yasikutoke....kipigo kimoja...unachanganyikiwa.........jukwaa huru hili....hutaki kuwa quoted...jitumie sms kwenye simu.,,yako....
Nasikia Wenger ameanguka baada ya kipigo cha jana.
Aliteleza na kuanguka na mabegi yake at Liverpool Lime Street Station.
![]()
Thanks Gunner,
We got absolutely spanked by Liverpool!.
Leo siyo siku ya kuanza kuainisha makosa lakini matokeo kama haya yanatuweka katika nafasi ya kuijongea timu kwa taswira tofauti. Kuvunjika kwa pakacha siyo mwisho wa uchukuI na hasa ikichukuliwa kuwa hata timu zingine zinazotuzunguka zinadondosha pia points.
Hii imeishapita. The end of one thing leads to the beginning of another.
Tukutane tena kwenye uwanja wetu wa kujidai On Wednesday, 12 February, kwenye mida ya 19:45 GMT kutoa vidonge kwa Man United.
Once a Gunner, Always a Gunner.
Ha ha haaaaaaaa, nimeipenda hii....
![]()
The scoreboard at Anfield says it all
on a miserable afternoon for Arsenal
We will bounce back and the future looks bright. Kronke kashuhudia mwenyewe mapambano ambao the boys looked jaded, and did not turn up. Monreal na Ozil walikuwa very poor today. Prof atafanya mambo kama kawaida yake .......... .... ... .. Loserfools waliikamia sana hii mechi ..... ...... ... .tutaona J2 kama wataweza kuweka magoli mengine matano pale Emirates kwenye mtanange wa FA cup.
Jamani mbavu zangu mie!!New radio station found 86.5 arsenal fm