Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sikuwa na nia mbaya kupost ile picha...lakini reaction yenu ilikuwa so negative with provocative terms and insults...its okay..unafiki mmbaya sana huyu balantanda anasignature nzuri ya regia mtema lakini haifanyii kazi na kuanza kuni attack personally....na ww hata kama ni liverpool....

.....take it easy bana, banters za hapa na pale ndio raha ya majukwaa haya ya michezo...

It's only a game, bring it on...!
Haya, nawe washabikia team gani nikupatie Label yako kabisaaa!
 
sikuwa na nia mbaya kupost ile picha...lakini reaction yenu ilikuwa so negative with provocative terms and insults...its okay..unafiki mmbaya sana huyu balantanda anasignature nzuri ya regia mtema lakini haifanyii kazi na kuanza kuni attack personally....na ww hata kama ni liverpool....
Hivi kuna insult yoyote kwenye post hii niliyokujibu baada ya wewe kuniquote?...

#Unaboa Chifu.....

Nani kazungumzia title?....

Ushawahi kuona Bala kazungumzia suala la Ubingwa?....

Acha kuniquote na upuuzi wako huu....

Bala.

Wewe umeniquote as if nilishazungumzia suala la Arsenal kuchukua Ubingwa msimu huu....Kwa nini usiwaquote hao wanaojinasibu na Arsenal kuchukua Ubingwa?.....Binafsi sipendi kuwa quoted kwa kitu ambacho sijakizungumzia/hakinihusu......Wapo mashabiki wengi wa Arsenal humu tunatofautiana mitazamo na wapo wanaotumaini kwamba Arsenal itachukua Ubingwa kwa nini usiwaquote hao?.....

Sijaona unafiki wangu wowote hapo juu kiasi cha kunifanya nionekane naenda tofauti na imani ya Rafiki yangu Regia Mtema(R.I.P).....Ningekuwa nimewahi kuzungumzia suala la Arsenal kuchukua Ubingwa 2013/2014 ningeukubali unafiki wangu....Lakini Nah!...Usinilishe maneno Chifu.....

Sasa sijui umenirekebisha,kunikosoa ama kunisamehe kwa lipi hasa hap(kwa mujibu wa signature yangu unayoirejea)....

Pamoja sana Mkuu....

Bala.
 
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Sasa umenikosoa,kunirekebisha na kuniwajibisha kwa lipi kwenye Post yako hii hapa chini uliyoniquote?......Lengo lako lilikuwa ni lipi hasa?

Nashindwa kukuelewa kabisa Chifu....

Mimi niliandika hivi.....
#WatasemaSana ....

Together We Stand...

Hongera zenu Liverpool.....

Mlistahili ushindi Leo.....Mlikuwa bora zaidi yetu....

COYG...

Na wewe ukaiquote post hiyo na hii....

arsenal.jpg

Najaribu kuconnect dots wee.....Lakini #Sikuelewi

Sasa hii ya #Signature yangu inahusiana vipi na post y(z)ako?.... "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

#Kick????


 
Najaribu kuconnect dots wee.....Lakini #Sikuelewi

Sasa hii ya #Signature yangu inahusiana vipi na post y(z)ako?.... "Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.

#Kick????


this what i meant comrade...kama uliona nimekosea kwenye kupost ile pic(that's my thing and my signature says so), ungenikosoa kistaarabu,ukanirekebisha kistaarabu,nami ningewajibika kistaarabu mwisho wa siku we part our ways peacefully...tatizo you expose philosophy you dont practice...nilitegemea vile ungefuata quote ya regia na misingi yake...incontrary you ended up attacking me furiously...I UNDERSTAND HOW Painfully it is for such massive ass whooping...but be a gentleman,,,
now you come up with other other allegations...et kick..... you serious bro....why you want to take it further...kick for what...with our fake ids....
 
this what i meant comrade...kama uliona nimekosea kwenye kupost ile pic(that's my thing and my signature says so), ungenikosoa kistaarabu,ukanirekebisha kistaarabu,nami ningewajibika kistaarabu mwisho wa siku we part our ways peacefully...tatizo you expose philosophy you dont practice...nilitegemea vile ungefuata quote ya regia na misingi yake...incontrary you ended up attacking me furiously...I UNDERSTAND HOW Painfully it is for such massive ass whooping...but be a gentleman,,,
now you come up with other other allegations...et kick..... you serious bro....why you want to take it further...kick for what...with our fake ids....
Gotcha.....

Ukwli ni kwamba I am a die hard Arsenal Fan....Kama ni pain nilishaipata tulipofungwa 8 na Man Utd....Kufungwa 5 ndo niumie Chifu?, Kama sikuumia tulipofungwa 6 na Man Shitty ndo niumie kufungwa 5 na Kops?....Nah

Sasa ulitaka nikucorrect vipi Mkuu wangu....Sina uhakika kama hii hapa chini ni Personal attack...

#Unaboa Chifu.....

Nani kazungumzia title?....

Ushawahi kuona Bala kazungumzia suala la Ubingwa?....

Acha kuniquote na upuuzi wako huu....

Bala.

Btw....Balantanda (kifupi Bala) is my real Sukuma name.......So sina fake ID hapa JF kama unavyodhani...That's me......The Real Balantanda
 
Gotcha.....

Ukwli ni kwamba I am a die hard Arsenal Fan....Kama ni pain nilishaipata tulipofungwa 8 na Man Utd....Kufungwa 5 ndo niumie Chifu?, Kama sikuumia tulipofungwa 6 na Man Shitty ndo niumie kufungwa 5 na Kops?....Nah

Sasa ulitaka nikucorrect vipi Mkuu wangu....Sina uhakika kama hii hapa chini ni Personal attack...



Btw....Balantanda (kifupi Bala) is my real Sukuma name.......So sina fake ID hapa JF kama unavyodhani...That's me......The Real Balantanda
you can diverge the reality..but the truth triumph...you know it I know it....and you previously admitted...
btw....fake ids go beyond names....ref to your avatar,and sign....relive them buddy...
 
Baada ya kichapo cha jana. Cjui ndo alikua na mawazo ama sakafu... Hatujui. Ila ilitokea akielekea kupanda tren kutoka Liverpool kwenda London ImageUploadedByJamiiForums1391944115.139204.jpg ImageUploadedByJamiiForums1391944133.180042.jpg ImageUploadedByJamiiForums1391944143.220096.jpg ImageUploadedByJamiiForums1391944164.286246.jpg
 
Proffesor anatia huruma sana

Sometimes, I feel sorry for him, lakini mengine huwa anajitakia mwenyewe.

The Premier League needs physical players, siyo kama akina Ozil jana aliguswa na Henderson huyooo chini na kusabahisha goli.

The League is tough and players like Ramsay are very good, but I don't think they can boss around the middle of the park with players like Yahaya Toure.

Why did the Arsenal team of 2003-04 went the whole season unbeaten?
 
Back
Top Bottom