Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#Unaboa Chifu.....

Nani kazungumzia title?....

Ushawahi kuona Bala kazungumzia suala la Ubingwa?....

Acha kuniquote na upuuzi wako huu....

Bala.

......kaka unapoteza bure nguvu zako kuwajibu hawa #Mburukenge ...
Mimi humu nawajibu wale manguli wa majukwaa haya, yaani piga ua hata wakifungwa wao wapo tu wanaugulia na tai zao shingoni....
Nzi, Belo, ndio wanaostahiki kitupiana nao vijembe humu,... Wengine wanapiga kelele tuu humu huwajui hata wanashabikia nini....
 
Last edited by a moderator:
Did you know arsenal wamefungwa na wachezaji ambao majina yao yanaanzia na s tu ,sterling,sktrell and sturidge??
 
......kaka unapoteza bure nguvu zako kuwajibu hawa #Mburukenge ...
Mimi humu nawajibu wale manguli wa majukwaa haya, yaani piga ua hata wakifungwa wao wapo tu wanaugulia na tai zao shingoni....
Nzi, Belo, ndio wanaostahiki kitupiana nao vijembe humu,... Wengine wanapiga kelele tuu humu huwajui hata wanashabikia nini....

Wanna hi 5, chief?
 
Last edited by a moderator:
Wanna hi 5, chief?

....hahaha, umenikumbusha enzi za WAYN, friends Reunited nk hapo kabla ya Facebook!

Ahh, ngoma ilikuwa nzito leo banaa. Hakuna hata la kujitetea.... Kama ingekuwa Uswazi, ningesema jamaa wamepiga mlango jiwe la fatuma kisha baruti halafu mnavamiwa na mapanga Nshaaa migongoni!
 
....hahaha, umenikumbusha enzi za WAYN, friends Reunited nk hapo kabla ya Facebook!

Ahh, ngoma ilikuwa nzito leo banaa. Hakuna hata la kujitetea.... Kama ingekuwa Uswazi, ningesema jamaa wamepiga mlango jiwe la fatuma kisha baruti halafu mnavamiwa na mapanga Nshaaa migongoni!

Chifu, gemu nilikua siiangalii. Nimekuja kucheki nakuta 5-1, ikabidi niangue kicheko sana.

Wife ni shabiki wa goon aisee, naye akapokea zomeo lake. Dogo bado hajajua timu ya kushabikia, lakini naye akaungana nami kumpa mama zomeo lake.

Ligi hii, acha kabisa. Shitty kakaziwa na timu aliyoipiga 6 au 7 bila pale Etihad.

Siye tunajikongoja tu. Huwezi jua huko mbeleni, msije mkachinjana, siye tukajichukulia ujiko.
 
kaka imekuwa je? Au mganga Kasema ulikosea kuleta kuku umepeleka wa kijani? Manake siku hizi waganga wa kienyeji matapeli na waganga wa hospital matapeli.

LOL, mmetuotea vibaya leo. vijana walikuwa wazito kinoma nadhani the usual February ndo imeanza. Anyway, hongera sana.
 
Chifu, gemu nilikua siiangalii. Nimekuja kucheki nakuta 5-1, ikabidi niangue kicheko sana.

Wife ni shabiki wa goon aisee, naye akapokea zomeo lake. Dogo bado hajajua timu ya kushabikia, lakini naye akaungana nami kumpa mama zomeo lake.

Ligi hii, acha kabisa. Shitty kakaziwa na timu aliyoipiga 6 au 7 bila pale Etihad.

Siye tunajikongoja tu. Huwezi jua huko mbeleni, msije mkachinjana, siye tukajichukulia ujiko.

.....hahahha.... Hala hala kaka, mpaka jumatano baada ya mechi usijebaki umenuniwa!

Honestly, game ya jumatano mkitupiga na nyie nitapumzika kidogo jukwaa hili mpaka february iishe.
 
.....hahahha.... Hala hala kaka, mpaka jumatano baada ya mechi usijebaki umenuniwa!

Honestly, game ya jumatano mkitupiga na nyie nitapumzika kidogo jukwaa hili mpaka february iishe.

Jumatano patakuwa hapatoshi humu.....tuombe uzima tu chifu...
 
article-2554698-1B4CB9D800000578-341_308x249.jpg



The boys were off today......... ........ ........



article-0-1B4B816700000578-959_634x379.jpg





Despondent: Arsenal's Jack Wilshere returned from injury
but was helpless as Liverpool shot to a 4-0 lead






article-2554698-1B4C09D900000578-49_634x424.jpg




Outraged: Polish goalkeeper Wojciech Szczesny reacted agrily on Facebook
after picking the ball out of the back of the net five times in the rout against Loserfools



article-0-1B4B7B1400000578-714_634x396.jpg


Shot away: Martin Skrtel scored in the first minute
and the Gunners were on the back foot from then on





article-0-1B4C034600000578-578_634x350.jpg



Slow motion: Raheem Sterling slots past Szczesny
for his second and Loserfools fifth





article-2554698-1B4C5BF500000578-360_634x180.jpg




Striker Lukas Podolski, who came on as a substitute for Giroud after 60 minutes, and Per Mertesacker were also contrite and looking forward
to their now even more important United clash.

article-2554698-1B4CB13A00000578-985_634x71.jpg

article-2554698-1B4D17BF00000578-696_634x81.jpg






article-0-1B4B89A900000578-703_634x423.jpg


Different strokes: Daniel Sturridge does a celebratory dance
as Arsenal keeper Wojciech Szczesny fumes



One of those days ...... ..... ..... ..... ..... ...... .... ....COYG.

 
Miaka yote Arsenal huwa wana nafasi ya kuchukua ubingwa but hawana consistency,
Subiri fixture yao ya February na March ipite ndio utaijua vizuri Arsenal

Uko nafasi ya ngapi na timu yak ya kununua waamuzi? BTW Loserfools mwaka huu tumegawana point tu tuliwatungua Emirtes mechi ya kwanza hakuna kilichoharibika hapo, nafasi ya Flamini pale kati ndiyo ilipwaya pamoja na wachezaji kuwa focussed ndio soka hilo wewe uguza majeruhi yako huko kwenye Europa cup ..... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kaka hata Man U kuna msimu alikuwa nyuma 9 points na in the end akatwaa ubingwa. Bado Arsenal wana nafasi ya kutwaa ubingwa ukizingatia gap ni only 2 points

Which two points are you talking about?
 
Uko nafasi ya ngapi na timu yak ya kununua waamuzi? BTW Loserfools mwaka huu tumegawana point tu tuliwatungua Emirtes mechi ya kwanza hakuna kilichoharibika hapo, nafasi ya Flamini pale kati ndiyo ilipwaya pamoja na wachezaji kuwa focussed ndio soka hilo wewe uguza majeruhi yako huko kwenye Europa cup ..... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Jiandae Juda anakuja kutoa dozi kama kawaida yake
 
article-2554029-1B4BF0A600000578-174_634x422.jpg




The scoreboard at Anfield says it all
on a miserable afternoon for Arsenal

We will bounce back and the future looks bright. Kronke kashuhudia mwenyewe mapambano ambao the boys looked jaded, and did not turn up. Monreal na Ozil walikuwa very poor today. Prof atafanya mambo kama kawaida yake .......... .... ... .. Loserfools waliikamia sana hii mechi ..... ...... ... .tutaona J2 kama wataweza kuweka magoli mengine matano pale Emirates kwenye mtanange wa FA cup.
 
Back
Top Bottom