Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Pelegrini-the tactical one
mourinho-the special one
moyes- the choosen one
wenger- five one
mourinho-the special one
moyes- the choosen one
wenger- five one
#WatasemaSana ....
Together We Stand...
Hongera zenu Liverpool.....
Mlistahili ushindi Leo.....Mlikuwa bora zaidi yetu....
COYG...
kaka imekuwa je? Au mganga Kasema ulikosea kuleta kuku umepeleka wa kijani? Manake siku hizi waganga wa kienyeji matapeli na waganga wa hospital matapeli.Kesho ushindi tu.. Liverpool 1- 3 Arsenal
D. Sturridge
S. Cazorla
Ozil
Per
Bado Arsenal wana nafasi kubwa sana ya kutwaa ubingwa.
HaswaaMkuu Unaijua vizuri Arsenal ?
Haswaa
Miaka yote Arsenal huwa wana nafasi ya kuchukua ubingwa but hawana consistency,
Subiri fixture yao ya February na March ipite ndio utaijua vizuri Arsenal
Kaka hata Man U kuna msimu alikuwa nyuma 9 points na in the end akatwaa ubingwa. Bado Arsenal wana nafasi ya kutwaa ubingwa ukizingatia gap ni only 2 points
Mimi sio a gunner lakini I'm convinced bado Arsenal ana nafasi kubwa ya kuutwa ubingwa kufungwa mechi moja sio mwisho wa leagueMan u sio Arsenal,hata hiyo man u ya sasa tumemuacha point kumi lakini kufika pale tulipo kwao ni ngumu msimu huu.
"Nlikuwepo":bolt:
Kaka hata Man U kuna msimu alikuwa nyuma 9 points na in the end akatwaa ubingwa. Bado Arsenal wana nafasi ya kutwaa ubingwa ukizingatia gap ni only 2 points
Haya mkuu, lakini I stand by by statement. The title is still for Arsenal to looseUsilinganisha ManUnited tena ile ya Fergie na hii Arsenal ya kina Giroud,Arsenal walianza vizuri sana lakini wachezaji wengi wamechoka sasa mfano Ozil,Giroud Wilshere ni spana mkononi hawezi cheza game 3 mfululizo Ramsey,Walcot ni majeruhi.
Arsenal bado wako kwenye FA,UCL na EPL na watacheza game 3 ndani ya siku 8
12/02/2014: Arsenal VS Man United
16/02/2014 Arsenal VS Liverpool
19/02/2014 Arsenal VS Bayern Munich
[TABLE="class: table-stats"]
[TR="class: preview"]
[TD="class: match-date"][/TD]
[TD="class: kickoff"][/TD]
[TD="class: status"][/TD]
[/TR]
[TR="class: preview"]
[TD="class: match-competition"][/TD]
[/TR]
[TR="class: preview"]
[TD="class: statistics show"][/TD]
[TD="class: kickoff"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Haya mkuu, lakini I stand by by statement. The title is still for Arsenal to loose
Wako kwenye title race pia pamoja na City. Nina imani katika hizo top 3 mmoja wao ataitwaa ndoo.Unawazungumziaje Chelsea?