Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sterling na Skirtel wanafukuzia hattrick leo
 
Huu mwezi utaisha vibaya kwetu maana hali ni mbaya....
 
Timu ni mbovu kulinganisha na uchezaji wetu
Babu anajaribu kujenga eti anaweza kuongeza kipato na kuchukuwa kikombe kwa wachezaji walewale
Ndio alikosana na Vern Persy
Tuna timu mbovu ndugu,ni kwa vile hatutaki kuamini,Wenger hataki kusajili ni mwehu huyu mzee.
 
......fake Gunners fans fungeni virago vyenu sasa....

Wale die hard fans wenzangu tutabanana humu humu mpaka dakika 90 na msimu uishe....

Never say Never.....!!!!
COYG....we'll bounce back....
 
Timu ni mbovu kulinganisha na uchezaji wetu
Babu anajaribu kujenga eti anaweza kuongeza kipato na kuchukuwa kikombe kwa wachezaji walewale
Ndio alikosana na Vern Persy

......dahhhh?!

Kabla game haijaanza pia ulikuwa na mawazo hayo hayo?
 
Back
Top Bottom