Jiandae Juda anakuja kutoa dozi kama kawaida yake
Wenger ameshachanganyikiwa, kumbuka mnacheza Jumatano(Man United),Jumapili(Liverpool) then Jumatano(Bayern).Game 3 kali ndani ya siku 8 na zote ni mechi muhimuT
To be honest japo mpira unachezwa uwanjan na si mdomoni but I dont think we will another 3 points to Manure.
Suarez ndio ametuangusha leo
Wenger ameshachanganyikiwa, kumbuka mnacheza Jumatano(Man United),Jumapili(Liverpool) then Jumatano(Bayern).Game 3 kali ndani ya siku 8 na zote ni mechi muhimu
kazingua kishenzi ila sio mbaya amekuwa replaced na hao wengine hahahahah yaani jana i was so happy mtaani kulikuwa kimyaaa na j5 i hope patakuwa kimya kama jana.
Jamani mbavu zangu mie!!
Sijiamini itachukua Ubingwa?....Kwa nini uniquote kwa kitu ambacho sijakizungumzia na wala sina hata wazo nacho?......#UmevurugwaWewe .....Si bure...
Eti Hasira.....Nani ana hasira?....
Naujua sana upuuzi.....Na huo hapo juu uliouweka ndio upuuzi....
Kwa nini kunilisha maneno ambayo sijasema?.....
Quote ya picha kama hiyo ya Al - Sahaf uliyoitoa huwa inatolewa kwa mtu aliyezungumzia kitu fulani.....Sasa whjy quoting me on something cha kipuuzi?.....Never talked on Ubingwa sasa why quoting me kuhusiana na huo upuuzi?.....
#MburukengeLimited
ahahahahahahahahahahahaha eti. 86.5 Arsenal fm...duh!
#Ignoredmaneno mengi povu kamasi uharo zote zinatoka...eti 5-1...hahahahahh.....ngumu kumesaaaaaaaaaaa...umekula kwako... vumilia tu...ukikubali kuolewa usilale na kyupi........
![]()
mkuu nyie hapo ndo hamna chata yenu kwenye hiyo frequency ya radio mpya 86.5 fm inabidi mzunguko huu wa pili mjitahidi.
I see...usingeleta matusi tangu mwanzo tusingefika huku...atleast umekuwa gentleman.......i know how to handle them freaks...
I see...
You call 'em freaks?......Haya bana...
Nijuavyo mimi matusi mtu ukitoa Lugha ya matusi JF maneno hayatokei....Yanzuiwa....Sasa sijui tusi liko wapi kwenye post zangu hapo juu....Ama #Mburukenge na #Kuvurugwa ni matusi?
Anyways...Ngoja niwe bubu mkuu.....
I see...
You call 'em freaks?......Haya bana...
Nijuavyo mimi matusi mtu ukitoa Lugha ya matusi JF maneno hayatokei....Yanzuiwa....Sasa sijui tusi liko wapi kwenye post zangu hapo juu....Ama #Mburukenge na #Kuvurugwa ni matusi?
Anyways...Ngoja niwe bubu mkuu.....
mkuu nyie hapo ndo hamna chata yenu kwenye hiyo frequency ya radio mpya 86.5 fm inabidi mzunguko huu wa pili mjitahidi.
sikuwa na nia mbaya kupost ile picha...lakini reaction yenu ilikuwa so negative with provocative terms and insults...its okay..unafiki mmbaya sana huyu balantanda anasignature nzuri ya regia mtema lakini haifanyii kazi na kuanza kuni attack personally....na ww hata kama ni liverpool........ Tyta kwani wewe washabikia team gani kwani?
Maana duhhh, umekuja kwa #NgebeNaMasanga ya hali ya juu!