Naona umeanza Kua mpole km Piritoni
Mnaota ubingwa Kwa timu ya Watoto?
Teh Teh Teh
Haya kijana jiandae nawe kwa kipigo baadae.Naam! Naam naam! Siwezi kusimulia! Lkn lile jahazi la washika bunduki linazidi kuzama!
Hali ni mbaya!
Kwi Kwi Kwi!
Hatimaye Arsenal wanaanza kuonyesha rangi yao ya asili sasa............no consistence at all
Sitaki kifikiria na game ya Chelsea aghrrrrrrrrrrrrrrr
Nasubiria kuona matokeo haya 🙂4-4 ndio yatakuwa matokeo ya mwisho.
Dah nitaicheki kwenye simu hiyo game!
Ndoto za asubui hizoHaya kijana jiandae nawe kwa kipigo baadae.
Tano mkuu na mpira ndio hivyo tena, pumzika tu.Mnao angalia mpira live kunadalili kweli za haya magoli kurudishwa na Arsenal au kuna hatari ya kuongezwa
Presha ipo juu bora hata sipo karibu na luninga
Wacha nichekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!
Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!
Asante
===========
UPDATES:
Dk 13: Man City 1 - 0 Arsenal (Aguero)
Dk 31: Man City 1 - 1 Arsenal (Walcott)
Dk 38: Man City 2 - 1 Arsenal (Negredo)
Dk 50: Man City 3 - 1 Arsenal (Fernandinho)
Dk 62: Man City 3 - 2 Arsenal (Walcott)
Dk 65: Man City 4 - 2 Arsenal (Navas)
Dk 85: Man City 5 - 2 Arsenal (Fernandinho)
Nipo kaka,
They were good than us.