Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Penaltiiii
Piga hao washika ukuta wa london mpaka waone nyota maana mtaani kelele zimezidi. NyampafffffffffNdoto za asubui hizo
Hali ni mbaya golini mwa Watoto!! Jamani namuona kipa Wa Watoto tu uwanjani!
Nauliza hiviOzil yuko wapi? Haonekani kabisa uwanjani!
Na kuanzia Leo sitaki tena mtusumbue mitaani Eti Ozil na sauti mnalegeza Ozil
City 5
Watoto 2
Pasua kabisaa ikibidi chinja tu, maana mtaani hapanogi kwa kelele zao, poshàPenaltiiii
Vipi washika ukuta wa london, mbona siwaelewi?
Wacha nichekeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kaka hata najua basi?
Nilidhani browser zangu leo zimenigomea.
Ipo siku niliutafuta uzi wa Chelsea bila mafanikio.
Whats going on?
.....6-3 final score.
Expected results?....
Mnh, ..... So-so!
Man City wana Quality striking power!
Acha nasi tutapata wanyonge wetu wa kuwapiga goli moja moja....
Mimi nimeshangaa sana Mku Mbu, nilitaka kuandika kitu na kukuta umefungwa nilipoangalia nyuzi za MANU, MANC, L'pool na Chelsea zote zipo, hakuna sababu yeyote ya muhimu ya kuufunga uzi ule, kama ipo basi tuelezwe vinginevyo ufunguliwe haraka sana. Yaani hii ya kufungwa 6-3 haikunikosesha raha kama kufungwa kwa uzi.
Unanikusha wale wakikuyu (kama sikosei ni msimu wa 2011-2012) walipo amua kuharakisha safari yao ya kurudi kwa baba. Sintashangaa nikisia na leo yamejirudiaMatokeo kama haya yalinifanya niitose 'aseno', nilijiuliza kwa nini nakosa raha kwa timu ya mzungu, nashindwa kula na kulala!: bila shaka hata leo kuna watu watafuata nyayo zangu.