Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

And the next game is against Chelsea.

Arsenal wakifungwa tena, they will go down to second na hapo itakuwa ndiyo bye bye.
 
Naona umefunguliwa Mkuu Mbu. Dah!!! nilikuwa nimekasirika kupita maelezo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu
Leo Mburukenge wengi watakuja hapa lakini ndio mpira nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu sana
Coach wa Man City anastahili pongezi sio Mancini
Duhhhhh....!?
Umefunguliwa baada ya final score!
Kaka BAK, acha nijikalie kimya mie..
Nisijekiuka masharti na kanuni za JF.

Nice Day bro, nawapisha kina
#Mburukenge nao waje kutamba humu.
 
Last edited by a moderator:
.... EMT, tangu mpira umeanza mpk mwisho kwa browser zangu kitufe cha Quote na Reply kilikuwa hamna!!!

Couldn't see any new posts nor able to post anything.
Kumbe na mkuu BAK went thru the same dilema....

Ajabu ya mungu, ghafla pots zetu zimeunganishwa hapa...

Anyway, ....
It's all part of the fun.
 
Last edited by a moderator:
Hata sijui Mkuu EMT huyo MOD aliyeamua kuufunga alifanya hivyo kwa sababu zipi hasa!?

Mkuu..... Kuna wenzetu walkuwa na access na walikuwa wanatiririka kama kawa.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu..... Kuna wenzetu walkuwa na access na walikuwa wanatiririka kama kawa.....

Are you sure? Labda mashabiki wa gunner walishtukia matokeo na kuomba Mod watu awe anaruhusu watu kuingia kama kwenye lile jukwaa la kikubwa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahahaha lol!!!! Huyo hajui tu huu uzi una umuhimu kiasi gani kwa mashabiki na wapenzi wa Gunners.

Huyo Mod aliyefunga uzi lazima atakuwa ni gunner.

Atakuwa aliangalia mechi kwenye karai.
 
Mhhhh!!!! hii kali kumbe uzi unaweza kufungwa kwa watu wawili tu Mbu na BAK wengine wanatiririka kwa raha zao!? Dah!!! sikulijua hili!!! labda kuna mkono wa Nzi hahahahah lol!!!!

Mkuu..... Kuna wenzetu walkuwa na access na walikuwa wanatiririka kama kawa.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom