Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakupa mechi ya Leo na ya Chelsea na Newcastle lazima upoteze! Nafasi ya 3 ni yako baba kuanzia Leo!

Naam! Arsenal Au watoto wanapoteza beki wao mahiri Kwa kuumia na Kutoka nje na linabaki lile beki refuuuuuuuuuuuuu kweli Yani Jerumani! Metusaka!!

Hatoki mtu katika nafasi ya kwanza....
 
Nalo litarudi na tunamalizia na la ushindi.



Noaona pale ktktYule ndugu yetu Toure anafanya anavoweza! Yani Flamin na Ramsey na Ozel wanautafuta Mpira Kwa kigenga Cha kuni!
 
Ni Super Saturday
Man City 2

Arsenal 1

Mapumziko sasa!
 
Huku tukiwa tunasubiri wale Matajiri Wa London yaani mabigwa wa Ulaya wa kwanza ndani ya London yani Vijana walio chini ya kocha boraaaa kabisa duniani Yani Jose Mourinho kuingia darajani na kupunguza Ombwe la point na watoto Wa Emarati saa 12 jioni Hali ni mbaya Kwa watoto washika bunduki Wa Mzee Wenger ndani ya Etihad!

Hatoki mtu hapa Leo!
 
Dakika ya 50

Man City 3-1 Arsenal............Fernadinho

City wanafanya sub Sergio Aguero anatoka, anaingia Jesus Navas
 
Back
Top Bottom