Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Ntuzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
17,418
Reaction score
10,879
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!

Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!

Asante

===========
UPDATES:

Dk 13: Man City 1 - 0 Arsenal (Aguero)

Dk 31: Man City 1 - 1 Arsenal (Walcott)

Dk 38: Man City 2 - 1 Arsenal (Negredo)

Dk 50: Man City 3 - 1 Arsenal (Fernandinho)

Dk 62: Man City 3 - 2 Arsenal (Walcott)

Dk 65: Man City 4 - 2 Arsenal (Navas)

Dk 85: Man City 5 - 2 Arsenal (Fernandinho)

Dk 90+3": Man City 5 - 3 Arsenal (Metasaka)

Dk 90+5": Man City 6 - 3 Arsenal (Per Mertesacker)

FT: Man City 6 - 3 Arsenal
 
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!

Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!

Asante
Usilikimbie Jukwaa tu hapo badae!! I note you!!
 
Usilikimbie Jukwaa tu hapo badae!! I note you!!

Juzi tu niliwambia mnapigwa mkawa mnabisha sasa na Leo Eti mnasema ntakimbia!

Ivi nyinyi mna timu kweli?
 
Usitumie nguvu zako kumjibu huyo. Achana naye atakaa kimya.


Wewe unasemaje Eti?

Hakai kimya mtu hapa! Saa za game sio mbali subiri uone!

Unachekesha!
 
Nipo City kwa mkopo ebo mnashangaa nini nani aliwaambia mashabiki hawawezi kuazimwa kwa muda mtashangaa leo sioni mtu wa kumzuia Silva na Aguero.
 
Hii game saa ngapi wadau..mi liver naomba mungu arsenal apoteze hii game angalau nimsogelee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom