Jukwaa la Michezo linavamiwa sasa.... Ni kama ilivyokuwa Jukwaa la Siasa
Haya kimenuka mpaka 90 ziko 5 hapa
Presha itoke wapi wewe?Mko wp mashapibiki Wa Watoto Au Presha?
Siwaoni jukwaani
Arsenal 2
Na city 3
Mkuu sisi hatuna presha, tunasubiri matokeo tu ya mwisho.
Hapana mkuu Ngongoseke,ni nne(4) tu.
Mkuu sisi hatuna presha, tunasubiri matokeo tu ya mwisho.
Nimesema 5 zipo hapa
4-4 ndio yatakuwa matokeo ya mwisho.
4-4 ndio yatakuwa matokeo ya mwisho.