Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Mnao angalia mpira live kunadalili kweli za haya magoli kurudishwa na Arsenal au kuna hatari ya kuongezwa
Presha ipo juu bora hata sipo karibu na luninga
 
Haya kijana jiandae nawe kwa kipigo baadae.
Ndoto za asubui hizo

Hali ni mbaya golini mwa Watoto!! Jamani namuona kipa Wa Watoto tu uwanjani!

Nauliza hiviOzil yuko wapi? Haonekani kabisa uwanjani!

Na kuanzia Leo sitaki tena mtusumbue mitaani Eti Ozil na sauti mnalegeza Ozil
City 5
Watoto 2
 
Mnao angalia mpira live kunadalili kweli za haya magoli kurudishwa na Arsenal au kuna hatari ya kuongezwa
Presha ipo juu bora hata sipo karibu na luninga
Tano mkuu na mpira ndio hivyo tena, pumzika tu.
 
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!

Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!

Asante

===========
UPDATES:

Dk 13: Man City 1 - 0 Arsenal (Aguero)

Dk 31: Man City 1 - 1 Arsenal (Walcott)

Dk 38: Man City 2 - 1 Arsenal (Negredo)

Dk 50: Man City 3 - 1 Arsenal (Fernandinho)

Dk 62: Man City 3 - 2 Arsenal (Walcott)

Dk 65: Man City 4 - 2 Arsenal (Navas)

Dk 85: Man City 5 - 2 Arsenal (Fernandinho)
Wacha nichekeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ndoto za asubui hizo

Hali ni mbaya golini mwa Watoto!! Jamani namuona kipa Wa Watoto tu uwanjani!

Nauliza hiviOzil yuko wapi? Haonekani kabisa uwanjani!

Na kuanzia Leo sitaki tena mtusumbue mitaani Eti Ozil na sauti mnalegeza Ozil
City 5
Watoto 2
Piga hao washika ukuta wa london mpaka waone nyota maana mtaani kelele zimezidi. Nyampafffffffff
 
Safi sana 6-3 arsenal chili...na bado mkikutana na Chelsea tena kipigo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom