Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,104
Last edited by a moderator:
Mkuu sisi hatuna presha, tunasubiri matokeo tu ya mwisho.
Hapana mkuu Ngongoseke,ni nne(4) tu.
Mkuu sisi hatuna presha, tunasubiri matokeo tu ya mwisho.
Nimesema 5 zipo hapa
4-4 ndio yatakuwa matokeo ya mwisho.
Naona umeanza Kua mpole km Piritoni
Mnaota ubingwa Kwa timu ya Watoto?
Teh Teh Teh
Haya kijana jiandae nawe kwa kipigo baadae.Naam! Naam naam! Siwezi kusimulia! Lkn lile jahazi la washika bunduki linazidi kuzama!
Hali ni mbaya!
Kwi Kwi Kwi!
Nasubiria kuona matokeo haya 🙂4-4 ndio yatakuwa matokeo ya mwisho.
Dah nitaicheki kwenye simu hiyo game!