Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Naam! Naam naam! Siwezi kusimulia! Lkn lile jahazi la washika bunduki linazidi kuzama!
Hali ni mbaya!

Kwi Kwi Kwi!
 
Kazi tunaye leo washika Bunduki ila hata Yanga iliwahi kutangulia kwa 3-0 dhidi ya Simba mwisho ikawa 3-3
 
Hatimaye Arsenal wanaanza kuonyesha rangi yao ya asili sasa............no consistence at all
Sitaki kifikiria na game ya Chelsea aghrrrrrrrrrrrrrrr
 
1387030728548.jpg
 
Naam! Naam naam! Siwezi kusimulia! Lkn lile jahazi la washika bunduki linazidi kuzama!
Hali ni mbaya!

Kwi Kwi Kwi!
Haya kijana jiandae nawe kwa kipigo baadae.
 
Hatimaye Arsenal wanaanza kuonyesha rangi yao ya asili sasa............no consistence at all
Sitaki kifikiria na game ya Chelsea aghrrrrrrrrrrrrrrr

Teh Teh Teh Teh
Hali ni mbaya sn Kwa lango la watoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom