Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kadi ni kwa wachezaji wa Gunners tu matokeo ya leo umeyaona ni sawa na Chelsick walivyozawadiwa .... .... goli la matuta.

Ametoa kadi sasa baada ya Rooney kumchezea rafu Aaron Ramsey.
 
Refa kaharibu mpira ... .... ..... walikuwa wanawewesekaweweseka sana .... ...... .... .ati refa anaongeza dakika tatu tu haya bana tutakutana Emirates ... .... ...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hehehehe Wenger anaimba bao la kuongeza dk alibinye yeye dk 3 Kasema ndogo, Coach aliyekuwa Azam anaemia EPL ni Fixed vipi United kamfunga Arsenal ni Viatu.
 
manure wameniharibia siku yangu....

we need to buy a striker january!! mpira tucheze sisi kufungwa tufungwe sisi....
 
Refa kaharibu mpira ... .... ..... walikuwa wanawewesekaweweseka sana .... ...... .... .ati refa anaongeza dakika tatu tu haya bana tutakutana Emirates ... .... ...

Mgawa bahasha alishastafu,Leo Moyes anaendeleza dozi
 
ligi ya EPL safarihii kila mtu anamfunga mwenzake ikiendelea hivi TV zitapata tabu game ya mwisho, Swansea 3 Stoke 3 alafu watu wanasema ligi ya Spain kiboko labda Kama mnatizama maonyesho tu Raha EPL tu Viatu tunaona mpira wa madotchi tunaona ngumi tunaona kila kitu mpaka marefa wabovu.
 
Hongera kwa Man Utd kwa kushinda lakini badio tunaongoza ligi na 2 points na Man Utd wapo nyuma yetu kwa 5 points..

Arsenal leo wameonyesha wamechoka sana hasa Cazorla na Giroud ambae amekuwa akicheza kule mbele peke yake msimu mzima.

Arsene Wenger itabidi asajili mshambuliaji mwingine ifikapo mwezi January, ingawa Podolskina Theo Walcott wanarudi baada ya wiki moja.

Si mbaya, mpaka sasa hii ni mechi ya pili kwenye ligi hii tunapoteza na inabidi baadhi ya wachezaji muhimu wapumzishwe.

Ramsey, Ozil, Giroud na Cazorla wamechoka sana.
 
Booooommm...leo tumemuwowa mke wetu...

Cc: BAK Balantanda Wacha1 makelele alikuwa anaweweseka toka jana..alijua atakachopata kutoka kwa mme wake...
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana majirani taratiiibu heshima inaanza kurudi mjini wenye kikombe tunakuja taratibu lakini kwa uhakika.
 
Arsenal watajirudi mechi zijazo.Hii mechi ilikuwa ngumu, zaidi ya goli Man utd sidhani kama wanaweza kusema walikuwa best team... tusubiri hadi holidays games (Desember-January) tunaweza kupata indication ya atakayeweza kubeba kombe
 
Manu wamejitahidi kuziba mapengo yaliyojitokeza kwenye gemu zilizopita lakini nasi tulikubali kuufuata mchezo wao
Hongereni
Nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu bado siwezi kutabiri kama Manu wanaweza kulikwaa kombe wanacheza zaidi kwa kukamia timu sio kwa ligi nzima, nasikia AF amerudi kwa mlango wa nyuma kwa gemu ya leo kwani ingelikuwa matokeo mengine basi sokomoko lazima ingelitokea pale OT
 
Poleni sana majirani taratiiibu heshima inaanza kurudi mjini wenye kikombe tunakuja taratibu lakini kwa uhakika.
Sina hofu na nyinyi,nyie ni kanawaka kanazima!halafu usikariri,majirani zako ni man city sio arsenal .Kufungwa si kuzuri,hata Astoni villa walitubahatisha kihivihivi na tukaja bounce back vizuri tu.
 
Back
Top Bottom