Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1 down Judas .. .... ... sasa mpira utachezwa ngoja tuone hizo njuluku walizompa refa.
 
Ni pengo la Mertesacker linajionyesha wazi.
Sizani Kama pengo ni Huyo pengo ni rocisky tatizo la Arsenal wakimchezewa buti haichezi mpira united wamekuja na speed na Mabavu yakuwapiga na viatu Arsenal wanatakiwa speed na kujiamini ndio watawafunga hii Mishetani mekundu, Rocisky huwa anatowa Pasi haraka na kwenda speed Arsenal wanaogopa viatu.
 
Manure wanazawadiwa kona hapa yaani huyu refa stupid kabisa ... ... .... Then golikipa anaumizwa ... .... .Dah mpunga wa leo haya tutaona second half watakuja kivipi....
 
Game ina presha sana hii, Man wanakamia vibaya, hadi wanapiga vichwa kama ngumi yani, Dah! !
 
Back
Top Bottom