Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
I'm glad Ozil showed us today why he's called 'The Magician' , He disappeared for 90 minutes today. #MindBlowing
Belo ulichofikiria Kumbe na Mie ndio nilivhokifikiria Wenger kaaanza kuvaa kanzu zake za winter bora angebaki na suti yake ya Mr Bean ila Arsenal walikosa ma winger na Rocisky wangeshinda Arsenal, kengine United wakicheza na Arsenal wanawapatia kati kupiga viatu na ubavu na kwenda speed ukiwaacha wacheze mpira wa gonga mtachoka , mpira wa United ni gombania goli hasa Kama Nani na Valencia wapo kwenye fomu nzuri na Evra akipanda huku Silva hapo ndipo pakuiogopa United inamsaidia Carrick kutulia, zaidi ya hapo Arsenal walikosa wingers na bench halikuwa Zuri. United washazoea kwa kujua game mwisho May! Wengine tunatakiwa tujifunze kwao united japo tunawachukia.Kuwafunga Arsenal sisi hatubahatishi ,kocha wenu Wenger anajua hilo ndio maana alivaa lile jacket lake ambalo akilivaa ujue Arsenal anafungwa
Belo ulichofikiria Kumbe na Mie ndio nilivhokifikiria Wenger kaaanza kuvaa kanzu zake za winter bora angebaki na suti yake ya Mr Bean ila Arsenal walikosa ma winger na Rocisky wangeshinda Arsenal, kengine United wakicheza na Arsenal wanawapatia kati kupiga viatu na ubavu na kwenda speed ukiwaacha wacheze mpira wa gonga mtachoka , mpira wa United ni gombania goli hasa Kama Nani na Valencia wapo kwenye fomu nzuri na Evra akipanda huku Silva hapo ndipo pakuiogopa United inamsaidia Carrick kutulia, zaidi ya hapo Arsenal walikosa wingers na bench halikuwa Zuri. United washazoea kwa kujua game mwisho May! Wengine tunatakiwa tujifunze kwao united japo tunawachukia.
now he has realized that somebody to challenge girouds' place z needed, lets wait for january
mfarisayo unaua aisee...jamaa wanachungulia kwenye jukwaa lao...
Hiyo ndiyo tabia halisi ya #mburukenge, kujificha kwenye nyumba yake...