Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sexy soccer is meant for beach soccer leagues not the EPL. We mean b'ness all day everyday..Glory glory Man United. In your face losers
 
Manu wamejitahidi kuziba mapengo yaliyojitokeza kwenye gemu zilizopita lakini nasi tulikubali kuufuata mchezo wao
Hongereni
Nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu bado siwezi kutabiri kama Manu wanaweza kulikwaa kombe wanacheza zaidi kwa kukamia timu sio kwa ligi nzima, nasikia AF amerudi kwa mlango wa nyuma kwa gemu ya leo kwani ingelikuwa matokeo mengine basi sokomoko lazima ingelitokea pale OT

Naona mmeanza kuweweseka,Manchester United kuwafunga Arsenal ni kazi nyepesi mno
 
Manu wamejitahidi kuziba mapengo yaliyojitokeza kwenye gemu zilizopita lakini nasi tulikubali kuufuata mchezo wao
Hongereni
Nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu bado siwezi kutabiri kama Manu wanaweza kulikwaa kombe wanacheza zaidi kwa kukamia timu sio kwa ligi nzima, nasikia AF amerudi kwa mlango wa nyuma kwa gemu ya leo kwani ingelikuwa matokeo mengine basi sokomoko lazima ingelitokea pale OT

fergie bado yupo united,hata akitaka kukaa ktk bench la ufundi anaruhusiwa,haondoki mpaka afe
 
Manu wamejitahidi kuziba mapengo yaliyojitokeza kwenye gemu zilizopita lakini nasi tulikubali kuufuata mchezo wao
Hongereni
Nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu bado siwezi kutabiri kama Manu wanaweza kulikwaa kombe wanacheza zaidi kwa kukamia timu sio kwa ligi nzima, nasikia AF amerudi kwa mlango wa nyuma kwa gemu ya leo kwani ingelikuwa matokeo mengine basi sokomoko lazima ingelitokea pale OT

usijali mkuu! ni game ya pili kupoteza toka msimu uanze....

tutarudi tu!

isitoshe!!! check hapa



[TD="class: position"]1[/TD]
[TD="class: team"]Arsenal[/TD]
[TD="class: st_played"]11[/TD]
[TD="class: st_goaldiffall"]12[/TD]
[TD="class: st_points"]25[/TD]

[TD="class: position"]2[/TD]
[TD="class: team"]Liverpool[/TD]
[TD="class: st_played"]11[/TD]
[TD="class: st_goaldiffall"]11[/TD]
[TD="class: st_points"]23[/TD]

[TD="class: position"]3[/TD]
[TD="class: team"]Southampton[/TD]
[TD="class: st_played"]11[/TD]
[TD="class: st_goaldiffall"]10[/TD]
[TD="class: st_points"]22[/TD]

[TD="class: position"]4[/TD]
[TD="class: team"]Chelsea[/TD]
[TD="class: st_played"]11[/TD]
[TD="class: st_goaldiffall"]8[/TD]
[TD="class: st_points"]21[/TD]

[TD="class: position"]5[/TD]
[TD="class: team"]Manchester United[/TD]
[TD="class: st_played"]11[/TD]
[TD="class: st_goaldiffall"]5[/TD]
[TD="class: st_points"]20[/TD]
 
fergie bado yupo united,hata akitaka kukaa ktk bench la ufundi anaruhusiwa,haondoki mpaka afe

mkuu naona umefurahi sana.... seems hukutegemea kabisa....!

ila team yenu bado kabisa....

acha kina theo, ox na pod warudi...

emirates digea ataokota mipira wavuni hadi basi
 
Sina hofu na nyinyi,nyie ni kanawaka kanazima!halafu usikariri,majirani zako ni man city sio arsenal .Kufungwa si kuzuri,hata Astoni villa walitubahatisha kihivihivi na tukaja bounce back vizuri tu.

Kuwafunga Arsenal sisi hatubahatishi ,kocha wenu Wenger anajua hilo ndio maana alivaa lile jacket lake ambalo akilivaa ujue Arsenal anafungwa
 
Hongera kwa Man Utd kwa kushinda lakini badio tunaongoza ligi na 2 points na Man Utd wapo nyuma yetu kwa 5 points..

Arsenal leo wameonyesha wamechoka sana hasa Cazorla na Giroud ambae amekuwa akicheza kule mbele peke yake msimu mzima.

Arsene Wenger itabidi asajili mshambuliaji mwingine ifikapo mwezi January, ingawa Podolskina Theo Walcott wanarudi baada ya wiki moja.

Si mbaya, mpaka sasa hii ni mechi ya pili kwenye ligi hii tunapoteza na inabidi baadhi ya wachezaji muhimu wapumzishwe.

Ramsey, Ozil, Giroud na Cazorla wamechoka sana.

Ni kweli lakini tuseme ukweli jamaa wamecheza kwa kutafuta ushindi wa lazima kiasi kwamba wachezaji walitumia nguvu nyingi,naukumbuka mchezo wa aston villa ilikuwa kama hivi leo
 
Aise nimenuna mno, ila msimu huu AW amekua akitupa baridi na joto sana, labda tumsamehe....tuseme ni mchezo, ila donge wakuu, mpaka maji hayapandi?!..
 

Attachments

  • 7e024e731677666e83bb59613fa4d1e6.jpg
    7e024e731677666e83bb59613fa4d1e6.jpg
    29.6 KB · Views: 65
  • bee89b7872ed23b35f70e47236aa1d34.jpg
    bee89b7872ed23b35f70e47236aa1d34.jpg
    29.9 KB · Views: 66
  • 77469a684719788e52f56931f07216e0.jpg
    77469a684719788e52f56931f07216e0.jpg
    59.1 KB · Views: 65
Kuwafunga Arsenal sisi hatubahatishi ,kocha wenu Wenger anajua hilo ndio maana alivaa lile jacket lake ambalo akilivaa ujue Arsenal anafungwa
Hahahaaah!me Hamna ongea too much,acha tukajipange upya.
 
mkuu naona umefurahi sana.... seems hukutegemea kabisa....!

ila team yenu bado kabisa....

acha kina theo, ox na pod warudi...

emirates digea ataokota mipira wavuni hadi basi

Hao wapo kila siku na tunawafunga kila msimu,ambaye hakuwepo ni Ozil naye leo amepata dozi yake
 
Hoodii humu ndani!nauliza eti nyumba hii ndio kwenye msiba au nimikothea njia jamani!namuulidhia jamaa anaitwa Pdidy nimeelekezwa anakaa hapa au ndo huyo kafa manake eti niliambiwa anataka kumeza kithu eti afe eti nyumba yake ikiingiwa na "shetani mwekundu"etii...!
 
Last edited by a moderator:
Thanks Mbu. Poleni sana kwa matarajio makubwa yaliyopitiliza.
Duuh!..tulale vizuri maana watu fudenge leo wangeshinda khe khe khe..mtuache miaka elfu🙂)

.......hahahaha..... BelindaJacob umeona ee?
Yaani tungewafunga leo kesho ungekuta Bouquet la Roses ofisini kwako....

Lala unono, #JudasIscariot katuzamisha leo.....
 
Last edited by a moderator:
Manu wamejitahidi kuziba mapengo yaliyojitokeza kwenye gemu zilizopita lakini nasi tulikubali kuufuata mchezo wao
Hongereni
Nilisema mwanzo ligi ya safari hii ni ngumu bado siwezi kutabiri kama Manu wanaweza kulikwaa kombe wanacheza zaidi kwa kukamia timu sio kwa ligi nzima, nasikia AF amerudi kwa mlango wa nyuma kwa gemu ya leo kwani ingelikuwa matokeo mengine basi sokomoko lazima ingelitokea pale OT
Mbona maneno mengi hivyo?
 
Back
Top Bottom