Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal hawajacheza mpira leo na wamekuwa wanasita sana kwenye kufanya maamuzi hasa upangaji mashambulizi.

Nafikiri kwa sababu Flamini amepewa kadi ya njano anaweza kumpisha Jack Wilshere kipindi cha pili.
 
Manure wanazawadiwa kona hapa yaani huyu refa stupid kabisa ... ... .... Then golikipa anaumizwa ... .... .Dah mpunga wa leo haya tutaona second half watakuja kivipi....

Wewe tumekuzoea kulialia ni kawaida yako,aliyekuwa anatoa mpunga ameshastaafu
 
Gunners hawajacheza mpira bana lala salama inakuja .... .... .... ...
 
Wilshere anaingia kuchukua nafasi ya Flamini na Ozil anasogea pembeni na Ramsey atakuwa katikati na Wilshere.
 
Sijui ni kwanini Rooney hapewi kadi ya njano kwa kumchezea rafu Thomas Vermaelen.
 
Sijui ni kwanini Rooney hapewi kadi ya njano kwa kumchezea rafu Thomas Vermaelen.

Kadi ni kwa wachezaji wa Gunners tu matokeo ya leo umeyaona ni sawa na Chelsick walivyozawadiwa .... .... goli la matuta.
 
Back
Top Bottom