Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man Citeh keshafanywa mbaya kule na Sunderland kama Spurs walivyofanywa mbaya na Toons...

...#Longolongo sasa bhaaaasss.....
Muda wa kuangalia kabumbu aka soka umewadia....

See you soon!!!
 
Man Citeh keshafanywa mbaya kule na Sunderland kama Spurs walivyofanywa mbaya na Toons...

...#Longolongo sasa bhaaaasss.....
Muda wa kuangalia kabumbu aka soka umewadia....

See you soon!!!

Naona leo mko wachache,kuna watu matokeo wanayajua tayari
 
Vermaelen nae amechukua nafasi ya Mertesacker ambae amekumbwa na tatizo la kuendesha na imebidi abaki hotelini.
 
Mtupe heads up basi... wengine hatutizami mpira. Lol
 
Naona leo wametoa mpunga mapema Giroud yellow .... .....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Arsenal wanajaribiwa sana kwenye upande wao wa kushoto ambapo Gibbs anakabiliana na Valencia.
 
Man Citeh keshafanywa mbaya kule na Sunderland kama Spurs walivyofanywa mbaya na Toons...

...#Longolongo sasa bhaaaasss.....
Muda wa kuangalia kabumbu aka soka umewadia....

See you soon!!!

Hii mechi draw itakuwa fair play.
 
Huyu refa anapendelea bana all 50-50 anawapa Manure wakati kesha mpa kadi Giroud .... . .stupid kabisa .... ....
 
Back
Top Bottom