Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2Q==
Z
9k=
Z
9k=
2Q==
Z
9k=
 
Haya Chacha.... Nachukia huku Nafurahi.... MAY BE ATASAJILI... ***** zake AW....
 
I hope mzee Wenger anainjoi sana, wacha aendelee kulalia pesa. Villa nao wakutufunga 3 nyumbani?
 
Yani nimefurahi sana,
Babu amenikera sana na kujifanya kwa miaka 8 kuwa yuko smart zaidi yetu mashabiki..hasikiiiii...
nna hamu sana ya kumsikiliza atakachosema kwenye post-match interview...M.oron kabisa!!!
 
Mpaka sasa mnanyanyaswa na Villa tena nyumbani kwenu (1- 3), kulikoni? Yaani mnapigwa bao na Villa? Ohoooo, angalieni msije kuwa kama Liverfools, miaka karibia 30 bila ubingwa, kazi kelele tu bila utekelezaji kama watanzania.
 
Back
Top Bottom