we acha mi nahema jujuuHii timu full presha.....
Red CardNaona babu ataona kuwa hana timu. Bora tufungwe leo. 2 mistakes from Kosenly
japo nilitaka tufungwe lakini inauma this way
Hujaona kosa kosa ya Carzola? Issue ni timi yote mbovuHuyu Carzola WTF ameua timu penalti amesababisha yeye kwa kunyanganywa mpira kati na ndio amesababisha Kocelny apate red card pia. Tokea ameingia yeye hapa kati imekuwa njia. Mzee Wenger wacha aendelee kulalia pesa.