tofauti yetu ni kwamba, wewe unaangalia 'here and now.' mie naangalia historical background ya system nzima!!!
kama ni medical assessment, wewe unafanya focus v/s head to toe kwa upande wangu!! hii ndio tafauti kubwa kati yetu......approach, approach and approach.
DC na Northern Virginia hakufai kabisa....
Siku hizi pale St Peters wamekata kata miti ata jengo lenyewe linaonekana na kale kabarabara wamekawekea lami unakatiza tuu mbele ya jengo hawana noma sana sema ukisogelea geti ndio unaweza kuwekwa chini ya ulinzi kwa muda.
Anwyays ofisi ya station iko chini ya kitengo cha usalama wa ndani, walikuwa wanakaribisha wananchi wote kwenda pale kutoa mawazo yao..siku hizi wameihamishia kule sea view.
FMES,
Umenikumbusha ya brother Mwangota RIP, Looh, jamaa alikuwa akiingia, wote mnatawanyika haraka sana, mnajua hapo hakuna amani tena.
Siku nimemkuta Muhimbili kule juu, yuko taabani, utafikiri sio yeye.
Hii dunia, tutende mema maana wote ni wasafiri tu na hakuna mjanja kwenye kifo.
Fedha na Mamlaka ndiyo hirizi ya nguvu zao hawa jamaa.
Wakibanwa na kuumbuliwa asili ya utajiri na nguvu zao za kupindisha taratibu, mtawaona wakinyong'onyea na kuteketea kama manyoya ya kuku mbele ya moto.
Ufiasdi unaozidi kipimo huko idara, unaanzia kwa Kombe ambaye alikomba hela zote ikafikia walinzi wa viongozi kusafiri nao bila posho, according to the dataz ndio hasa chanzo cha kifo chake, nasikia kuna wakati aliwahi kukutwa na dola lakini moja na nusu huko London na zile hela zikarudishwa bongo, lakini akaenda tena safari nyingine akiwa na hela zaidi ya zile za kwanza Waingereza again wakazirudisha zile hela kwa serikali, na haikuchukua muda, mkulu akafa,
Waliokuwepo huko kabla ya kombe, hawakuwa kabisa na utajiri wa kutisha, mmoja wapo ni Mzena, hakutoka na ktiu huko kabisa, isiapokuwa kuna walioktoka na mali nyingi sana wakati wa Mwalimu, kama Liani, Mgaya, Aziz kule polisi, hawa walifanya kufuru kama Mahita, alivyofanya!
Ufiasdi unaozidi kipimo huko idara, unaanzia kwa Kombe ambaye alikomba hela zote ikafikia walinzi wa viongozi kusafiri nao bila posho, according to the dataz ndio hasa chanzo cha kifo chake, nasikia kuna wakati aliwahi kukutwa na dola lakini moja na nusu huko London na zile hela zikarudishwa bongo, lakini akaenda tena safari nyingine akiwa na hela zaidi ya zile za kwanza Waingereza again wakazirudisha zile hela kwa serikali, na haikuchukua muda, mkulu akafa,
Waliokuwepo huko kabla ya kombe, hawakuwa kabisa na utajiri wa kutisha, mmoja wapo ni Mzena, hakutoka na ktiu huko kabisa, isiapokuwa kuna walioktoka na mali nyingi sana wakati wa Mwalimu, kama Liani, Mgaya, Aziz kule polisi, hawa walifanya kufuru kama Mahita, alivyofanya!
Basi tuseme tuna tatizo kubwa zaidi kuliko tunavyofikiria. Naomba msikose makala yangu maalum inayotokana na mjadala huu itakayotoka kwenye gazeti la "kulikoni" kesho.
Naomba linki ya mtandao ya Kulikoni.
Mzee hawana, ila nitaipost kwenye klhnews.com
Bhabeja Bhaba!
TISS walihusika na kifo cha Kombe
kweli hili swali umelifikiria au umeuliza tu alimradi uulize? Nikupe mifano ya wageni waliokuja na kuingia hadi chumbani na kuondoka na vito vyetu vya thamani huku walinzi wakiwa nje wanacheza bao?
kuhani,
wala haupo wrong jamaa ni character ya namna yake, which is a good thing!!! ana claim sana, akishakuwa na perception flani juu ya suala husika basi haachi room wala hataki kusikia/kuelewa mawazo mbadala au chalenji toka kwa wengine!!! kupunguza maneno ni kwamba jamaa ni mbishi kama role model wake(yule babu marehemu, RIP)........