Ilikuwa ni noma sanaThe old JF....MISS IT!
Kumbe jina la Marhum Pombe lilikuwepo kwenye ile orodha???Mafaili ya Mramba, Karamagi, Magufuli, Apson, Chenge, Mkapa, Ballali, Meghji, Mzindakaya, Mkono, Yona na wengine wote waliotajwa pale mwembe yanga na Slaa yaangaliwe ili kujua ni mali zipi walizoorodhesha.
hizi codes ni ngumu sanaYeah...kifo...the greatest equalizer of all times, bar none!
Kweli mtandao haufuti kitu, mpaka mwendazake mkuu umemtaja hapa, ila baada ya Urais akavikwa umalaika.Mafaili ya Mramba, Karamagi, Magufuli, Apson, Chenge, Mkapa, Ballali, Meghji, Mzindakaya, Mkono, Yona na wengine wote waliotajwa pale mwembe yanga na Slaa yaangaliwe ili kujua ni mali zipi walizoorodhesha.
Thinkers wa sasa wamepotezwa na ushabikiKulikuwa na hoja kweli kipindi hiko!
Zamani kama leo..Mafaili ya Mramba, Karamagi, Magufuli, Apson, Chenge, Mkapa, Ballali, Meghji, Mzindakaya, Mkono, Yona na wengine wote waliotajwa pale mwembe yanga na Slaa yaangaliwe ili kujua ni mali zipi walizoorodhesha.
Kumbe na Magufuli aliwahi kutajwa kwenye Ile list halafu watoto wa juzi wametoka kulima wanakuambia alikuwa "mzalendo" sijui mzalendo pub.Mafaili ya Mramba, Karamagi, Magufuli, Apson, Chenge, Mkapa, Ballali, Meghji, Mzindakaya, Mkono, Yona na wengine wote waliotajwa pale mwembe yanga na Slaa yaangaliwe ili kujua ni mali zipi walizoorodhesha.
Alitajwa na BAK lakini hakutajwa na Balozi Slaa pale Mwembeyanga mkuu!Kumbe na Magufuli aliwahi kutajwa kwenye Ile list halafu watoto wa juzi wametoka kulima wanakuambia alikuwa "mzalendo" sijui mzalendo pub.
Hawa wakongwe walijua kujenga hoja nzuri bila kukashifiana..I love you old jf