PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
kura feki uliweka mgombea?
Uweke mgombea kwenye uchaguzi uliopangwa matokeo?! Sheikh Ponda alikuwa mgombea, na ushahidi kaweka wa huo uchafu. Uchafu ni uchafu hata usiposhiriki huo uchafu.
 
ushaambiwa Amani italindwa kwa gharama zote
Mkiambiwa vyombo vimejaa vilaza na mashoga mnakataa, sasa uneni wanavyotumia nguvu nyingi kwenye kitu kisichojulikana.

Kama kweli vyombo vyetu vinaheshimika tangazo lao la kubatilisha Maandamano lingetosha.
 
Uweke mgombea kwenye uchaguzi uliopangwa matokeo?! Sheikh Ponda alikuwa mgombea, na ushahidi kaweka wa huo uchafu. Uchafu ni uchafu hata usiposhiriki huo uchafu.
hujaweka mgombea alafu unalia umeibiwa huo ni uhalifu na lazima ufike mwana nyamala
 
hujaweka mgombea alafu unalia umeibiwa huo ni uhalifu na lazima ufike mwana nyamala
Tuweke mgombea kama wasen@ge kwenye uchaguzi kiinimacho?! Na kwa somo la juzi ccm mjiandae, wizi wa kizamani umefikia mwisho. Na hapo ndio mtajua cdm walikuwa mbele ya wakati.
 
Mavi matupu!

Umeshinda kwa 98%
Ila umetoa nje mpaka vifaru ili kuzima maandamano ya raia?

Hahaha jamani huyu bibi mtamuua kwa presha
Jinga Kubwa wewe ! ulitaka nchi ilindwe kwa Magobore ?. Mngekuja tena safari hii , Pumbavu nyie, mngepukutishwa kama ndege. Mnadhani tutavumilia tena uharibifu wenu ? Hata sisi wananchi sasa hatuwataki ,hamna faida yoyote katika nchi hii zaidi ya uharibifu tu. ENOUGH is ENOUGH!
 
Kwa hiyo ulifirwa? Pole Sana siku nyingine ukiwa unaitukana serikali Twitter tumia ID fake
Kama mlitegemea kuteka na kufira ndio mtaogopwa basi mmeukalia safari hii. Yaani mmegeuka wase@nge watupu kutegemea vyombo vya dola. Na muombe aana watu tusikamate pipe, mtecheka kichina.
 
na wahalifu tu kama Kalamu
Samia kwisha kazi yake, wewe nguruwe sijui itakuwaje tena!

Najuwa ni vigumu kwako kuamini, lakini Samia baada ya kuua waTanzania kama nguruwe anaowafuga usitegemee kamwe kuwa anao muda tena wa kukulisha makombo yake.
Jiandae tu kwa halli mpya itakayokubkabili.
 
ungejua mwenzako ndo kwanza anakula upepo bungeni, 98% wote wapo ndan wamemskiliza kamanda wao
Mavi yake, Minyonyo huyo mpaka kuapishwa kaapishiwa ndani ya kambi ya jeshi. In short ni kama yuko jela tu, yuko depressed kwa kuwa anajua kwamba anachukiwa na majority. Kwa sababu yake ule uoga wa kuvaa mavazi ya CCM umerudi, ingekuwa anakubalika na 98% ya eligible voters wala hata vyombo vya dola visingetumika na raia wangeambiwa waendelee tu na shughuli zao kwani 2% can’t have impact on anything.
 
Wametishiwa tu wameanza kuachia ushuzi na muharo juu! 😂.
Kwa kweli Tanzania hatuna vyombo vya ulinzi, bali Kuna vyombo vya chakula na vya muziki.
Waende Congo wakaone Moto unavyomwagwa.

Pichani Ni Mutu ya Vitu usivimne mabega mbona Ni Cheguevara Huyu.
󱡓󱥊󱥆󱎎91...(1).webp
 
kura feki uliweka mgombea?
Kura feki zilijazwa nyingi tu at every polling station, aweke mgombea kwani naye ana wangombea wake au wewe ndiyo among fools wanaodhani kila anayepigania human dignity, human rights, Tanganyika sovereignty, justice pamoja na transparency and accountability anakuwa affiliated na upuuzi wenu wa vyama vya siasa?
Try to be sensible(that’s if you have sense) at least for once.
 
Kama mlitegemea kuteka na kufira ndio mtaogopwa basi mmeukalia safari hii. Yaani mmegeuka wase@nge watupu kutegemea vyombo vya dola. Na muombe aana watu tusikamate pipe, mtecheka kichina.
Ata kama una uchungu 😂😂 kwan ilikuaje ukaacha nyaraka wazi
 
Samia kwisha kazi yake, wewe nguruwe sijui itakuwaje tena!

Najuwa ni vigumu kwako kuamini, lakini Samia baada ya kuua waTanzania kama nguruwe anaowafuga usitegemee kamwe kuwa anao muda tena wa kukulisha makombo yake.
Jiandae tu kwa halli mpya itakayokubkabili.
Muha 😂😂 aya tupe tarehe inginr hii pia mmeamua kutusogezea tena
 
Back
Top Bottom