PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Wanajeshi wa Tanzania wa miaka ya 90 kwenda nyuma walikuwa vizuri kwa kiasi fulani (japo siyo sana), tofauti na Hawa wa sasa hivi amabao wanaweza kuvunja matofali, kubaka, kuwarusha kichurachura wazee pamoja na kugawa vinyao vyao kwa marijali.
Lile lilikuwa JWTZ na hili ni lilelile likiwa limeboreshwa sana. Usijisahau.
Pia kumbuka kipindi ke baadhi ya waganda walikuwa wanatuunga mkono, la svyo tungenyooshwa kama rula.
Ni kujidanganya kudhani tuliungwa mkono nao ndo tukashindwa. Na hata wao walingwa mkono na Libya na JWTZ likashinda.
 
Haujui hata ninaishi nchi gani wala ninafanya shughuli gani, endelea kuamini kuwa kila ambaye hajakupa majukumu ya kuwa uwe chawa wake ni maskini.
ata kama unaishi nje, kaliba yako ni ya mtoto maskini kutokana na content unazoandika! we uliona 29 tajiri kaadamana?
 
Badilisha kwenye jina la Samia na CCM uweke Lisu na chadema, then jiulize kama utawasapoti wakiteka na kuua watu huku wakiiba chaguzi zote na kufunga mwenyekiti wa CCM kwa uhaini
mhalifu akiuliwa ni faida kwa nchi
 
Lile lilikuwa JWTZ na hili ni lilelile likiwa limeboreshwa sana. Usijisahau.

Ni kujidanganya kudhani tuliungwa mkono nao ndo tukashindwa. Na hata wao walingwa mkono na Libya na JWTZ likashinda.
Hapa hamna hoja ya maana mkuu.

JWTZ ya sasa hivi imejaa mataahira na wafuga vitambi, full stop.
 
Kura feki zilijazwa nyingi tu at every polling station, aweke mgombea kwani naye ana wangombea wake au wewe ndiyo among fools wanaodhani kila anayepigania human dignity, human rights, Tanganyika sovereignty, justice pamoja na transparency and accountability anakuwa affiliated na upuuzi wenu wa vyama vya siasa?
Try to be sensible(that’s if you have sense) at least for once.
hizo kura feki ziliwekewa kumpigia nan na mlikua hamna mgombea, mm na wewe nan wa kua sensible?
 
Nimeku-ignore sitoona tena takataka zako kuanzia leo...
 
ata kama unaishi nje, kaliba yako ni ya mtoto maskini kutokana na content unazoandika! we uliona 29 tajiri kaadamana?
Hata ughaibuni tuliandamana ukitoa tu wafanyakazi wa kwenye embassy na wale wanaotoka kwenye familia za wanasiasa. Wealthy, rich, comfortable and working class wote tuliandamana na sponsors wenu walipata ujumbe ndiyo hao mdogomdogo wanamfinya shangingi minyonyo.
We’re pushing professionally.
 
hizo kura feki ziliwekewa kumpigia nan na mlikua hamna mgombea, mm na wewe nan wa kua sensible?
Hatukuweka mgombea mimi na nani, I’m a lone ranger na video za watu wanachomeka mtu mmoja zaidi ya kura miatano nimeweka sana humu JF sasa what more evidence do you want.
Kibibi kilevi cha Konyagi hicho kinakubalika kwa chawa, UVCCM, BAKWATA, Wazanzibari na mambwiga wasiojitambua.
 
Hata ughaibuni tuliandamana ukitoa tu wafanyakazi wa kwenye embassy na wale wanaotoka kwenye familia za wanasiasa. Wealthy, rich, comfortable and working class wote tuliandamana na sponsors wenu walipata ujumbe ndiyo hao mdogomdogo wanamfinya shangingi minyonyo.
We’re pushing professionally.
cha kwanza wewe uko bongo, alafu hawakuandamana walienda kupiga kelele kwenye milango ya ofisi wako , kenya nao walikua na kenya walipigwa wakawekwa ndan na story yao imeishia apo! however katika wote walioandamana huezi kuta tajiri pale ni maskini tu ambao hawajielewi maaana kuan mwingine maskini lakini kakosa nyenzo tu ila ana kawazo cha kutoka,
 
Hapa hamna hoja ya maana mkuu.

JWTZ ya sasa hivi imejaa mataahira na wafuga vitambi, full stop.
Hayo ni maoni yako ila ukweli ni kuwa tuna jeshi zuri katika maeneo mengi ya kijeshi, ila kwasababu walidhibiti maandamano ya wezi na waharibifu wa mali unaliona taahira. Sasa ngoja siku ukitoka ikawa imepigwa marufuku uone utaahira wao😃😃😃😃
 
Hayo ni maoni yako ila ukweli ni kuwa tuna jeshi zuri katika maeneo mengi ya kijeshi, ila kwasababu walidhibiti maandamano ya wezi na waharibifu wa mali unaliona taahira. Sasa ngoja siku ukitoka ikawa imepigwa marufuku uone utaahira wao😃😃😃😃
wanasema kama hauna kesi jeshi unaona kama linazurura tu 🤣
 
Hatukuweka mgombea mimi na nani, I’m a lone ranger na video za watu wanachomeka mtu mmoja zaidi ya kura miatano nimeweka sana humu JF sasa what more evidence do you want.
Kibibi kilevi cha Konyagi hicho kinakubalika kwa chawa, UVCCM, BAKWATA, Wazanzibari na mambwiga wasiojitambua.
stupid, cry more
 
Jacob John Mkunda is a Tanzanian military officer who currently serves as Chief of the Tanzanian People's Defence Force since 30 June 2022.

Early life​

Mkunda attended the Ruvu Secondary School, where he played on the football team and was involved in student government.[1]

Career​

In February 2020, Mkunda, at the rank of brigadier-general, led the Tanzanian People's Defence Forces' (TPDF) 202nd Western Brigade in Katavi Region in an operation to suppress rebel activity in refugee settlements, leading to weapons seizures and several arrests.[2][3] By 2021 he was chief of the TPDF's training staff.[4]

On 30 June 2022 Mkunda was appointed Chief of Defence Forces, replacing retiring General Venance Salvatory Mabeyo
View attachment 3513669
Maandamano ni vurugu ??

NChi inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria sio mihemko ya viongozi.
Maandamo ni kosa kikatiba au kisheria ??
 
Back
Top Bottom