PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

PostGE2025 Appreciation post kwako CDF Jacob John Mkunda

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nilijua Hujui hata kusoma katiba , ndo inatajwa hivyo ??
mkiambiwa nyie ni wajinga mue mnaelewa, mlikua mnafuata mkumbo bila kusoma katika inasema nn kuhusu maadamano! basi utekaji ni haki yenu nchi hii inaongwa kwa SHERIA na sio mihemko
 
mkiambiwa nyie ni wajinga mue mnaelewa, mlikua mnafuata mkumbo bila kusoma katika inasema nn kuhusu maadamano! basi utekaji ni haki yenu nchi hii inaongwa kwa SHERIA na sio mihemko
Kifungu Cha 30 ibara gani ??

Sasa kama kusoma katiba Hujui huoni uko kama wale wazee mazuzu waliobadilishiwa almasi na gololi
 
Hayo ni maoni yako ila ukweli ni kuwa tuna jeshi zuri katika maeneo mengi ya kijeshi, ila kwasababu walidhibiti maandamano ya wezi na waharibifu wa mali unaliona taahira. Sasa ngoja siku ukitoka ikawa imepigwa marufuku uone utaahira wao😃😃😃😃
Siku hiyo tupewe silaha na wao wawe na silaha tuone nani mshindi. Najua kinachowapa kiburi cha uzima askari feki wa Tanzania ni silaha wanazomiliki.
 
cha kwanza wewe uko bongo, alafu hawakuandamana walienda kupiga kelele kwenye milango ya ofisi wako , kenya nao walikua na kenya walipigwa wakawekwa ndan na story yao imeishia apo! however katika wote walioandamana huezi kuta tajiri pale ni maskini tu ambao hawajielewi maaana kuan mwingine maskini lakini kakosa nyenzo tu ila ana kawazo cha kutoka,
Angalia siku zile mlizofungiwa mitandao nilipost posts ngapi utakuwa umepata jibu, hata passport ya Bongo nasubiri ikubalike dual citizenship ndiyo niichukue ila Bongo ni nchi yangu na nitaipigania tooth and nail.
 
Angalia siku zile mlizofungiwa mitandao nilipost posts ngapi utakuwa umepata jibu, hata passport ya Bongo nasubiri ikubalike dual citizenship ndiyo niichukue ila Bongo ni nchi yangu na nitaipigania tooth and nail.
Uipiganie mtandaoni
 
Back
Top Bottom