Apple Iphone 12 is finally here

Apple Iphone 12 is finally here

Kifo cha huawei kilionekana mapema sana.

Kama inamlipa China ikubali kuachia Facebook, google, Whatsap n.k nchini kwake then aombe huawei atolewe vikwazo pamoja na huawei wenyewe kujirekebisha.

Apple anaua simu za mid range indirect, kivipi ? Chukulia mfano 6s na 7 na 7 plus, hizi ni simu za muda kidogo ingawa bado ziko powerful kuliko hata simu za kisasa, hizi simu zinauzwa kama used au refurb na ni affordable, Kwa njia hii watu wananunua iPhone kwa bei rahisi na hawa wanakuwa wateja wa Apple kwa njia moja ama nyingine. Huu mtindo unampa Apple market share kubwa sana ingawa kwa sasa inaweza isiwe official ila later italipa sana na kama unavyojua vifaa vya Apple vinadumu muda mrefu sana na software iko stable ukiongeza na updates basi kazi inakuwa imeisha
apple hana marketshare kubwa unless unamaanisha USA, na mtu kununua simu used ama refurbished hakumuongezei hela apple wala kumuongezea marketshare sababu ile simu ilishauzwa na imeshahesabiwa, huwezi hesabu mara 2.

na xiaomi ameshagonga 11% bado asilimia moja tu kumpita Apple kimauzo, pengine mwakani akawa wa 3 ama 2 kimauzo zaidi duniani. na simu zake nyingi individually zinauza sana, mfano redmi note 8 imeuza zaidi kuliko iphone se miezi iliopita japo ni simu ya zamani.
 
Hii na iPhone 5 ndo the best looking iPhones ever...ukiachana na hilo li notch🤦🏽‍♂️
Watu watakupinga, lakini huo ndo ukweli, SE ya zamani, 5s ziko na mwonekano wa kibabe sana
 
apple hana marketshare kubwa unless unamaanisha USA, na mtu kununua simu used ama refurbished hakumuongezei hela apple wala kumuongezea marketshare sababu ile simu ilishauzwa na imeshahesabiwa, huwezi hesabu mara 2.

na xiaomi ameshagonga 11% bado asilimia moja tu kumpita Apple kimauzo, pengine mwakani akawa wa 3 ama 2 kimauzo zaidi duniani. na simu zake nyingi individually zinauza sana, mfano redmi note 8 imeuza zaidi kuliko iphone se miezi iliopita japo ni simu ya zamani.

Mkuu hujajua biashara hii inapoelekea, tunaelekea kwenye data ownership , he who owns data owns the world. In the near future Apple watabenefit zaidi kwenye iCloud subscriptions kuliko kuuza simu. Google wapo hapo tayari fb pia. Ndo maana nikasema mauzo ya refurb still yata create market share tena vizuri tu
 
Mkuu hujajua biashara hii inapoelekea, tunaelekea kwenye data ownership , he who owns data owns the world. In the near future Apple watabenefit zaidi kwenye iCloud subscriptions kuliko kuuza simu. Google wapo hapo tayari fb pia. Ndo maana nikasema mauzo ya refurb still yata create market share tena vizuri tu
Sio iCloud subs tu hata hayo ma Apple+ n.k. na ndio maana anatoa mpk simu zenye unafuu kidogo ili kuongeza market share yake
 
Sio iCloud subs tu hata hayo ma Apple+ n.k. na ndio maana anatoa mpk simu zenye unafuu kidogo ili kuongeza market share yake
note kitu kimoja tu Apple inc wamerun out of innovation....CEO wa Apple wa sasa sio business + marketin intelligence.....kuna maswali aliyowahi ulizwa kwenye interview flan...yan alijibu very weak mpaka akawa ananasa kwenye mitego ya yale maswali.....tech biz kwa miaka ya hivi karibuni inaendeshwa zaidi kwa kuavoid scandal + kupuuza reviews za customers na wakifeli hapo kifo chao kipo karibu....watajikuta wanawaachia market share Xiaomi na samsung
 
Huawei is finished mkuu, kwa report za mauzo zilizopita real deal ni Xiaomi.

Na itakuwa Ngumu kwa Apple kupambana na Xiaomi kwenye midrange, hasa kwenye nchi zetu za kimasikini, maana hawa jamaa wanauza simu kwa cost price.
Daaaah. Itabidi nianze kuwaangalia vizuri hawa majamaa maana mi nimeloea zangu Huawei sana. May be wanaweza kunibadilisha hawa majamaa nikaanza kuwaangalia vizuri
 
Daaaah. Itabidi nianze kuwaangalia vizuri hawa majamaa maana mi nimeloea zangu Huawei sana. May be wanaweza kunibadilisha hawa majamaa nikaanza kuwaangalia vizuri
Xiaomi hawafikii huawei kwenye kutengeneza premium device, sema kwenye midrange na lowend Xiaomi wapo vizuri sana. Na pia Accessory wapo vizuri wanatengeza vitu vidogo dogo vingi sana hadi toothpick hawajaacha.
 
Xiaomi hawafikii huawei kwenye kutengeneza premium device, sema kwenye midrange na lowend Xiaomi wapo vizuri sana. Na pia Accessory wapo vizuri wanatengeza vitu vidogo dogo vingi sana hadi toothpick hawajaacha.
Nakusoma man. But in comparison ya product za simu Huawei na Xiaomi wanaweza kuwa wanakaribia walau kiduchu?
 
Ninefuatilia sana huu uzi. Kikubwa ninachokiona ni "Mahaba" na utofauti wa matumizi ya simu kati ya mtu na mtu. Binafsi nimetumia sana Apple devices na Android devices kwa wakati tofauti na kulingana na matumizi yangu naweza kusema zote zimekidhi haja. Kikubwa nilichojifunza ni kwamba I phones sio Ideal kwa watu wachokonozi wale wanaopenda kuhangaika na vitu kwenye simu mara sijui kudownload miziki mara kuswitch apps nk. Kama wewe ni mtu wa aina hiyo hutaipenda I phone. Android ni Ideal kwa wale wanaopenda kuhangaika na Simu naweza kusema inakupa uhuru wa kuchokonoa vitu. Sasa ni muhimu kujua nini matumizi yako katika simu na sio kununua tu simu sababu inapendeza kiganjani au social status. Vilevile wabongo wengi bado tuna utoto sana kwenye mambo ya simu nk.
 
Ninefuatilia sana huu uzi. Kikubwa ninachokiona ni "Mahaba" na utofauti wa matumizi ya simu kati ya mtu na mtu. Binafsi nimetumia sana Apple devices na Android devices kwa wakati tofauti na kulingana na matumizi yangu naweza kusema zote zimekidhi haja. Kikubwa nilichojifunza ni kwamba I phones sio Ideal kwa watu wachokonozi wale wanaopenda kuhangaika na vitu kwenye simu mara sijui kudownload miziki mara kuswitch apps nk. Kama wewe ni mtu wa aina hiyo hutaipenda I phone. Android ni Ideal kwa wale wanaopenda kuhangaika na Simu naweza kusema inakupa uhuru wa kuchokonoa vitu. Sasa ni muhimu kujua nini matumizi yako katika simu na sio kununua tu simu sababu inapendeza kiganjani au social status. Vilevile wabongo wengi bado tuna utoto sana kwenye mambo ya simu nk.
Badilisha kiswahili sio wanaopenda kuhangaika na simu bali wanaopenda kuwa huru kutumia simu watakavyo na wawezavyo huku wakizifurahia
 
Ninefuatilia sana huu uzi. Kikubwa ninachokiona ni "Mahaba" na utofauti wa matumizi ya simu kati ya mtu na mtu. Binafsi nimetumia sana Apple devices na Android devices kwa wakati tofauti na kulingana na matumizi yangu naweza kusema zote zimekidhi haja. Kikubwa nilichojifunza ni kwamba I phones sio Ideal kwa watu wachokonozi wale wanaopenda kuhangaika na vitu kwenye simu mara sijui kudownload miziki mara kuswitch apps nk. Kama wewe ni mtu wa aina hiyo hutaipenda I phone. Android ni Ideal kwa wale wanaopenda kuhangaika na Simu naweza kusema inakupa uhuru wa kuchokonoa vitu. Sasa ni muhimu kujua nini matumizi yako katika simu na sio kununua tu simu sababu inapendeza kiganjani au social status. Vilevile wabongo wengi bado tuna utoto sana kwenye mambo ya simu nk.

Ndomana mnakuwa hacked
 
Kifo cha huawei kilionekana mapema sana.

Kama inamlipa China ikubali kuachia Facebook, google, Whatsap n.k nchini kwake then aombe huawei atolewe vikwazo pamoja na huawei wenyewe kujirekebisha.

Apple anaua simu za mid range indirect, kivipi ? Chukulia mfano 6s na 7 na 7 plus, hizi ni simu za muda kidogo ingawa bado ziko powerful kuliko hata simu za kisasa, hizi simu zinauzwa kama used au refurb na ni affordable, Kwa njia hii watu wananunua iPhone kwa bei rahisi na hawa wanakuwa wateja wa Apple kwa njia moja ama nyingine. Huu mtindo unampa Apple market share kubwa sana ingawa kwa sasa inaweza isiwe official ila later italipa sana na kama unavyojua vifaa vya Apple vinadumu muda mrefu sana na software iko stable ukiongeza na updates basi kazi inakuwa imeisha
Niliagizwa kioo cha Samsung s8+ nikahisi alieniagiza atadhani nimempiga kumbe ndo bei zake wakati kioo cha iPhone 7 nilinunua kwa elfu 60 tu. Ila hapo kwenye uimara apple nimewakubali niku-update tu ngoma inajipa siku zinasonga
 
Kifo cha huawei kilionekana mapema sana.

Kama inamlipa China ikubali kuachia Facebook, google, Whatsap n.k nchini kwake then aombe huawei atolewe vikwazo pamoja na huawei wenyewe kujirekebisha.

Apple anaua simu za mid range indirect, kivipi ? Chukulia mfano 6s na 7 na 7 plus, hizi ni simu za muda kidogo ingawa bado ziko powerful kuliko hata simu za kisasa, hizi simu zinauzwa kama used au refurb na ni affordable, Kwa njia hii watu wananunua iPhone kwa bei rahisi na hawa wanakuwa wateja wa Apple kwa njia moja ama nyingine. Huu mtindo unampa Apple market share kubwa sana ingawa kwa sasa inaweza isiwe official ila later italipa sana na kama unavyojua vifaa vya Apple vinadumu muda mrefu sana na software iko stable ukiongeza na updates basi kazi inakuwa imeisha
Huawei haiwezi kufa , Waliona hilo la marekani kabla ndio maana wakawa na OS yao na hivi sasa wanajizatiti upande wa Semiconductors huenda baadae wasinunue tena Chipset kwa TSMC.

Mi nasubiri tar 22 watoe dude lao Mate 40 liwakimbize kama kawaida

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom