Apple Iphone 12 is finally here

Apple Iphone 12 is finally here

Dah! Hiyo iPhone ya macho matatu hiyo utafikiri Schwarzenegger kwenye muvi ya Commando parefu sana hapo kwa sisi watu wa kawaida aisee. Mnaozimiliki kwa kweli mnastahili hongera nyingi mkuu. Yaani hiyo moja tu naweza kununua TECNO hata 10 nikagawia ukoo wetu mzima

Hahaha! Yaani waweza msema mtu na asijue kama anasemwa@Schwarzenegger.
 
Hahaha! Yaani waweza msema mtu na asijue kama anasemwa@Schwarzenegger.
Mnatutisha na hizo simu zenu aisee
commando-arnold-schwarzenegger.jpg
 
Dah! Hiyo iPhone ya macho matatu hiyo utafikiri Schwarzenegger kwenye muvi ya Commando parefu sana hapo kwa sisi watu wa kawaida aisee. Mnaozimiliki kwa kweli mnastahili hongera nyingi mkuu. Yaani hiyo moja tu naweza kununua TECNO hata 10 nikagawia ukoo wetu mzima

.

mbaya zaidi nina uhakika hawaitumii simu ipasavyo kama ambavyo mimi ningeivuruga vuruga to the max.mpaka ichemke
 
.

mbaya zaidi nina uhakika hawaitumii simu ipasavyo kama ambavyo mimi ningeivuruga vuruga to the max.mpaka ichemke

Hahaha! Sasa huo muda wa kuvuruga simu mpaka ichemke unatoka wapi?? Ama kazi yako inakuwa ni kucheza na simu tu?
 
Back
Top Bottom