Apple Iphone 12 is finally here

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,102
53,351
5G is coming with iphone 12.
Ceramic shield dispaly that goes beyond glass.
A14 bionic processor.
Camera: 12 mp.

IMG_20201013_203523.jpg
IMG_20201013_203556.jpg
IMG_20201013_203920.jpg

View attachment 1599109
 
Retina ni brand yao tu kama ilivyo super Amoled brand ya Samsung, wanaweza tumia same technology na bado wakaita retina.

Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
 
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?

Kifupi wamewaangusha makondoo wa iphone ila kwakuwa wameshashilwa masikio tayari kwa ajili ya kuchinjwa watakuja na mapambio ya kusifu
 
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Toleo la nyuma lipi mkuu? Maana 11 pro na 11 pro max pia zina oled retina.

Kilichobadilika mwaka huu ni mpaka regular 12 ina oled, 11 na Xr hazikuwa na Oled.
 
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Na mkuu super amoled ni brand ya Samsung, Apple hata akitumia same display toka Manufacture mwengine kama Lg haruhusiwi kuiita Super Amoled Ataiita Tu Oled.

Zikianza teardown za kina Ifixit tutajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom