mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
wacha kujifariji bana.Mimi nadunda na infinix hot 8 lite karibia mwaka Sasa. Nilinunua kwa 220,000 Mbeya.
Sioni anachonizidi mwenye i4n daaadeq
usiseme hamma anchokuzidi,sema huna wewe huoni sababu ya kununua simu hiyo.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

