Kidonda kimeshapona?
Natania..
Si nimesema natania lakini mrembo?..AnywayAcha fikra za kijinga, usifikiri kila mwanamke ni mvivu wa kufikiri na kushughulisha kichwa.
Acha fikra za kijinga, usifikiri kila mwanamke ni mvivu wa kufikiri na kushughulisha kichwa.
mbona povu!!!hujui utani mkuu?
au ndio tuseme kuna ukweli kwenye maneno yake!!
Si nimesema natania lakini mrembo?..Anyway
Hiyo natania sikuiona mkuu, maneno yake hayawezi kuwa na ukweli kwangu, hahaha!
Mwanadamu hata umpe nini haridhiki. Humu ndani taona experts wa Simu toka United Republic of Tanzania wanavyoikosoa Technology ya Apple![]()
Wakuu mi na iPhone 11 ina tatizo la kutokuwepo na mnara wa internet na sipati nternert naombeni msaada tafadhali.
Ila siku Iko fresh kabisa
Acha fikra za kijinga, usifikiri kila mwanamke ni mvivu wa kufikiri na kushughulisha kichwa.
Ngoja nikitulia ntakutumiaaMmmh hiyo sio iPhone 11 ebu tume serial number zake kwa DM nenda pale kwenye settings>general>about

Hongera mkuu![]()
Dah! Hiyo iPhone ya macho matatu hiyo utafikiri Schwarzenegger kwenye muvi ya Commando parefu sana hapo kwa sisi watu wa kawaida aisee. Mnaozimiliki kwa kweli mnastahili hongera nyingi mkuu. Yaani hiyo moja tu naweza kununua TECNO hata 10 nikagawia ukoo wetu mzimaAsante mkuu.


