Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Na kama ni high speed?
Yani wewe unakubali kupangiwa na Apple kama wewe huna akili?
512 GB kwenye simu ni ndogo?
Ha ha ha ha ha ha ha haaaah! Haya bhana
Na kama ni high speed?
Yani wewe unakubali kupangiwa na Apple kama wewe huna akili?
512 GB kwenye simu ni ndogo?
5G sio about speed, na hata ukiipata hio speed kuna storage gani kwenye simu kuhandle multi GB kwenye simu kwa sekunde? ikikazana sana labda ni around 500MB/s. hivyo ukipata 1GB/s ama 10GB/s ama 5GB/s ni useless kwenye simu hakuna bandwidth ya kutosha kuhandle hio speed.
mtafute mtu yoyote anayecheza games, vitu kama multiplayer atakwambia umuhimu wa latency, gamers yoyote anaweza toa kirahisi hata 10,000 kwa mb 100 za 5g, utofauti wa latency kutoka around 30ms kwenye 4g hadi 1 au 2ms kwenye 5g ni mkubwa sana. same kwenye shughuli kama kuangalia mpira online inasaidia.
5g kwenye simu ni game changer kwenye latency zaidi kuliko speed.
Na pia kuna mpango Huawei, Oppo, Vivo na Shami wamekubaliana kutengeneza App store yao,Os kila ktu, ni ili waache ya googlenafkiri store yao mi
Kuna possibility kubwa ya Huawei kuacha kutengeneza simu mwakani kama Usa hataondoa vikwazo.Na pia kuna mpango Huawei, Oppo, Vivo na Shami wamekubaliana kutengeneza App store yao,Os kila ktu, ni ili waache ya google
Huo uvumi nimeuona,Kuna possibility kubwa ya Huawei kuacha kutengeneza simu mwakani kama Usa hataondoa vikwazo.
Mkuu ujue huko kwao hata playstore hawatumii, tayari wana store kubwa China, mfano My App ya Tencent ina Active users milioni 250 kwa mwezi.Huo uvumi nimeuona,
Chief R wao kasema kama vikwazo vitaondoka basi google apps kwenye hizi brands mpya zilizotoka ni kitendo cha sekunde.
I wish for it.
SD card bado Ina umuhimu wake kumbuka video za iPhone unahitaji kurecord kwenye 4k ambapo video ya dk 1 ya 4k inaweza kuchukua storage mpaka 700MB+
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ndo hivyo bado wapo nyuma mbona Samsung wameweza
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kwenye 512GB tuseme umetumia 112GB kwa ajili ya masuala ya simu na kubakiwa 400GB, kwa hiyo frame rate ya 700MB+ unaweza kuchukua mpaka video ya footage from 50mins to 1hr and still useme bado micro sd card inahitajika, micro sd card gani kubwa yenye high speed frame rate ambayo inaweza kushindana na built in storage memory kuchukua video yenye 50mins to 1hr!?
SD card bado Ina umuhimu wake kumbuka video za iPhone unahitaji kurecord kwenye 4k ambapo video ya dk 1 ya 4k inaweza kuchukua storage mpaka 700MB+
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Habari ndo hiyoMbona kama iPhone 5
Kwenye 512GB tuseme umetumia 112GB kwa ajili ya masuala ya simu na kubakiwa 400GB, kwa hiyo frame rate ya 700MB+ unaweza kuchukua mpaka video ya footage from 50mins to 1hr and still useme bado micro sd card inahitajika, micro sd card gani kubwa yenye high speed frame rate ambayo inaweza kushindana na built in storage memory kuchukua video yenye 50mins to 1hr!?

Maendeleo ni hatua MkuuYaani mshkaji wangu kajichanga kanunua iphone 6 hawa mabwana kumbe washafika 12?
Anaweza ku-stick kutengeneza OS kwa ajili ya flagship zake tu na hizo zingine ziwe na android.Huu mtihani samsung ushamshinda kitambo ameona njia nyepesi ni kuwahadaa wateja wasio na maarifa kwa kuwawekea ram kubwa , 100x zoom camera megapixel 100+. Yeye anacheza na namba tu zisomeke kubwa.
Imagine leo anatengeneza os yake , je developer wataipa uzito ? From last year mpaka sasa samsung kaingiza sokoni more than 40 models za simu, hizi zote developer atazifanyia kazi saa ngapi? Badala yake software inakuwa stretched au squeezed kulazimisha ku fit tu basi. Hili jambo samsung wanalijua ila wanawajua pia wateja wao
iPhone wamejiposition kwenye high end market. Ila wakiweza kufanya mabadiliko wakainclude mid range market wakaimprove products zao technology wise wanaweza kutibua soko la Samsung na Huawei for goodHata iphone sasa hivi wameathirika simu zinauza sana kwao ni SE na iphone 11 (zote ni chini ya Dola 700) hizo ni bei za midrange siku hizi. Zile za bei za juu kama pro na max haziuzi tena kama zamani.
Tumefikia AGe ambayo kwenye midrange mtu wa kawaida anapata kila kitu kuanzia display nzuri,perfomance na hata camera.
Huawei is finished mkuu, kwa report za mauzo zilizopita real deal ni Xiaomi.iPhone wamejiposition kwenye high end market. Ila wakiweza kufanya mabadiliko wakainclude mid range market wakaimprove products zao technology wise wanaweza kutibua soko la Samsung na Huawei for good
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana. Inawalazimu kurukia next chapter hata Kama hawajamaliza hii waliyonayo sasa kwa sababu wakingojea wamalize ndo waingie kwenye hii mpya by the time they are done they will no longer be relevant in the market.4G ya voda mikoani tu tatizo hivi hawa kwanini wasinalizane na uwekezaji wa uhakika wa ngazi moja kisha waende nyingine tofaut na kurukaruka tu


Huawei is finished mkuu, kwa report za mauzo zilizopita real deal ni Xiaomi.
Na itakuwa Ngumu kwa Apple kupambana na Xiaomi kwenye midrange, hasa kwenye nchi zetu za kimasikini, maana hawa jamaa wanauza simu kwa cost price.