HiSilicon
Member
- Apr 4, 2016
- 90
- 307
Mnajipa moyo utadhani wanatengeneza juice za azam.
Hizo chip sets zinahitaji years of research K
Mwaka Huu Kirin 9000 ndio kawabatua na hiyo Mwakani unayosema Huawei watakufa kifo cha mende Kirin ipo kama kawaida watu washapewa green light huko we endelea na stori za kuuza miwa.Unaongea kirahisi kama unatengeneza juisi za azam.
Huawei mwakani anakufa kifo cha mende.
Ni sawa na uwaambie Boeing wanaotengeneza ndege na vifaa vyote ndani ya ndege watengeneze wao.
Hata apple hatengenezi kila kitu kwake ni OS na Chip Set, vingine anaagiza