mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,511
mkuu hiyo ndio emonj bora ya wakati wote kutoka samsung.Whether iwe low au mid na hata high end zinaishia kuwa junk phones ingawa kuna utofauti. Chukua mfano galaxy fold simu ya dola 2000. Kampuni ina focus kwenye hardware inasahau software matokeo yake mteja anakutana na experience mbaya, applications haziko optimized ku take advantage ya hardware , app ziko stretched up ku fit screen bila kujali ubora na hiki kitu kiliua tab za android. Kumbuka software ndo Kila kitu. Mwisho product inaishia kuwa junk maana haiwezi ku deliver. Nimekupa mfano mdogo kama una android yoyote fungua sms (siyo whatsap) angalia emoji zilinganishe na emoji hata za iPhone 5s utashangaa utakachokiona. Mambo kama haya ndo yanampa advantage Apple. Kwa maana nyingine simu inferior maana yake ni unakuta Simu ina Iris scanner , face scanner fingerprint Kwa wakati mmoja ila zote hazifanyi kazi vizuri ila Apple wao wameweka moja tu either Touch ID au Face ID na iko perfect (does what it is supposed to do)
Huwezi amini app za google kama YouTube na gmail zinafanya kazi vizuri kwenye iPhone kuliko simu zao wenyewe, Samsung ana manufacture processor ya Apple inakuwa faster kuliko wanazotumia wao, X ina display nzuri kuliko cm za Samsung (Kwa mwaka huo) lakini hiyo display imetoka Samsung. Sony anatengeneza camera kali za iPhone kuliko simu zake mwenyewe. Kwa hii mifano michache unaweza kuona kati ya wateja wa Apple na wa cm nyingine nani wanachezewa akili.
swala hapa kuhusu yoote uliyoandika,wa kulaumiwa na kuonekana ni mzembe kuliko wote ni pixel kutoka google.
anauza bidhaa zake bei juu wakati ameshindwa kuzi optimize ziendane na software anayoimiliki yeye mwenyewe,hawa wengine tutawaonea bure..



