mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
si ndio ana watena wenye akili hizo??Nimependa shape ya simu maana kwangu muundo wa iphone 5, 5s na 5se ndo the best haya mengine yalikuwa hayanivutii sasa ninaona wamerudisha muundo huo safi sana.
Ila kitakachomuua iPhone ni kufikiri anajua sana kuliko wateja kama kilichomuua Blackberry,
iPhone amekuwa na kiburi kiasi kwamba ni kama vile ana anatuambia hataki wateja wapya ndiyo maana anasema tayari wateja wana chaja za zamani haina haja ya kuship simu na chaja mpya.
mtu anakwambia kama umehamia IOS na unataka kuiona ikiwa kama android unakosea,yaani anaamua kuitetea na kuisema apple.

