Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Kwanini unasema Ni gerezaiPhone sio maendeleo ni gereza tu
Kwanini unasema Ni gerezaiPhone sio maendeleo ni gereza tu
Wewe jamaa bana! 😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾 nikiangalia profile picture yako na nikisoma hiki ulichokiandika hapa. 🙌🏾😂 kwa kweli unafaa kuwa Hakimu Mfawidhi 😂Yaani isheep wao apple akisema hiki hakitaki au hakiweki basi na wao wanasema apple hajaweka sio cha muhimu.
Isheep apple akiwaambia this time mpigwe mashine watatugawia sana makalio bure kwa sababu apple kasema.
Chochote atakachokisema apple wao wanakipokea kama kilivyo. Apple akisema 5G sio ya muhimu isheep wote wanakubali, kesho akisema ni muhimu wote wanakubali.
Hivi hizi simu mbona hawaweki battery capacity? Sioni RAM, sioni 120hz display.
Mwakani Apple ataongeza tu 120 display na RAM kidogo tu halafu atawapiga bei kondoo wake na wao wanachekelea.
Leo anawaambia hatoi charger kwa sababu ya kimazingira lakini anasema ukiihitaji unaweza kununua. Kwamba ukinunua seperate huharibu mazingira ila ikija na simu inaharibu mazingira na makondoo yanachekelea tu. Halafu watu kama hao wanawacheka waumini wa mzee wa upako au wa Gwajima.
😂😂😂😂🙌🏾 hutaki maendeleo ya vitu.Hizi Simu ntaishia kuzisikia TU...Maana hata kuzigusa sijawai..looh sina maendeleo ya vitu
Mkuuu..nakaataje maendeleo., Hayo ya vitu nayo nayataka Sana...hutaki maendeleo ya vitu.
Basi mie nikajua hutaki maendeleo ya vitu 😀Mkuuu..nakaataje maendeleo., Hayo ya vitu nayo nayataka Sana...
Maendeleo ya vitu ndo huleta maendelo ya Watu... Sasa mimi mkulima bila barabara ntasafirishaje mazao yangu... Nikishauza mazao ndo nanunua iPhone ... maendeleo ya vituBasi mie nikajua hutaki maendeleo ya vitu![]()



....japo sidhani Kama ntakuja nunua iPhone LOOOH... But never say neverKaribu tupite kwny flyover na baadae kwny sgr.Maendeleo ya vitu ndo huleta maendelo ya Watu... Sasa mimi mkulima bila barabara ntasafirishaje mazao yangu... Nikishauza mazao ndo nanunua iPhone ... maendeleo ya vitu....japo sidhani Kama ntakuja nunua iPhone LOOOH... But never say never
Mh....Karibu tupite kwny flyover na baadae kwny sgr.View attachment 1600539
Sikupingi lakini kwa hela hiyo unaweza kupata kitu super zaidi ya iPhone . Kiufupi iPhone is totally overrated labda na ww uanze kubisha kama wale apple fanboys
Usikute bete 2300 AmH maana enz za kutembea na powerbank zimepitaLazima niinunue hii kitu, maana wamerudi kwenye muundo ninaoupenda, sasa ukiwa na iphone 12 utajulikana siyo kama version zingine zinafanana na samsung, hakika nimefurahi sana tena sana kama ule ushindi wa Dkt Magufuli utakavyokuwa hapo 28.10.2020
Siku nyingi sana nimewasoma maana hizi iPhone 12 ilibidi zitoke mapema ila corona imezichelewesha. Hawa iPhone wameyumba ila ndo hivo tiyari wana wateja wa kudumuOooh Asante mkuu ila kwa opinions za watu online naona Kama apple this time wamechemsha
Muongo! Muongo mkubwa wewe.Mkoa gani 4G ya voda ni tatizo?
Mimi nafanya kazi ya kuzunguka hii nchi yote kila mwaka mtandao pekee wenye internet ya kueleweka ni Vodacom tu, uzuri wao kama hakuna mtandao basi haupo, maana yake hata wa voice unakua haupo. Ila kama voice upo basi ni 4G ya kueleweka. Kama upo upo, kama hawana coverage basi hawana.
hutaki kumfulia boyfriend wako nguo... Eti kisa hamjafunga ndoa!Maendeleo ya vitu ndo huleta maendelo ya Watu... Sasa mimi mkulima bila barabara ntasafirishaje mazao yangu... Nikishauza mazao ndo nanunua iPhone ... maendeleo ya vitu....japo sidhani Kama ntakuja nunua iPhone LOOOH... But never say never
hutaki kumfulia boyfriend wako nguo... Eti kisa hamjafunga ndoa!
Una akili timamu?



hutaki kumfulia boyfriend wako nguo... Eti kisa hamjafunga ndoa!
Una akili timamu?


daah
ya dukaniOoh that is a nice analysis!! Ukishauza mazao yako unitafute nikuongezee fedha ili uimiliki iPhone, angalau hata iphone10 tu,.. Hiyo iphone12 tutafika wakati Apple wakitoa iphone14.Maendeleo ya vitu ndo huleta maendelo ya Watu... Sasa mimi mkulima bila barabara ntasafirishaje mazao yangu... Nikishauza mazao ndo nanunua iPhone ... maendeleo ya vitu....japo sidhani Kama ntakuja nunua iPhone LOOOH... But never say never
Mkuuu...Kama kutokuwa na Akili timamu Kuna uhusiano na kufua nguo..Basi utakuwa upo sahihihutaki kumfulia boyfriend wako nguo... Eti kisa hamjafunga ndoa!
Una akili timamu?
Watu wanna Visa jamani..Huku kwenye iPhone nakufua nguo Kuna uhusiano gani.


