Chukua Cha Mgombea = CCM
CCM = Rushwa
Rushwa = CCM
huwezi kuwatenganisha hawa jamaa wawili, ni kama wale kina KHARID na FILEMONI kwenye saida karoli, mwenye wivu ajinyonge!!!
Mkuu hapo watakupiga chenga maana kuna mgonjwa mwingine anatumia drip na mwingine anataka mtori. Sema sawa na chu.pi na makalio maana chu.pi haiwezi valiwa kichwani lazima huko tuu.
Takukuru ingekuwa na meno ya kutosha. Hawa watoa rushwa wote wangeshaozea jela.
Mbona wanakamatwa kila kona..!!?
vip kwa miaka iliyopita ulikuwa hukusikia na kuona mengi???
Aliye na desturi ya kuomba rushwa pia hakosi kutoa rushwa; au anayehongwa uhongaMama Anna Malecela nimjuavyo hawezi toa rushwa.ieleweke yeye ni Mke wa Mzee Malecela na wote tunajuwa yaliyompata huyu mzee miaka ya nyuma huko Dom.Mzee ni muadilifu ingawa wenzake walisema kabadili dini na kuwa ISLAM ili apewe misaada kutoka arabuni endapo atapasua urais,kwa uadilifu wake Mzee hakutetereka na akaendelea kuwa mtiifu...hivyo basi mke lazima atakuwa anafuata nyayo za Mzee na hataweza kutoa rushwa.RESPECT KWA HUYU MAMA TAFADHALINI