Kama una hela za mawazo utampaje mpambe?hawa watu wapumbavu sana,utaendaje kutoa rushwa wrewe mwenyewe personal,like an idiot?.
sijui kwanini hawamwigi lowasa,kama unataka kutoa rushwa tumia wapambe daaaamn....
Halafu MTU mwenyewe kapewa uwaziri juzijuzi.
kwi kwi kwi.....!Rushwa ni sera ya CCM; wawaache tu;
............. Kura yako ni maisha yako.............
Kumbe wanaposema CCM ni Chama Cha Mafisadi inawezekana ni kweli
Mwaka wa uchaguzi huu tutaona na kusikia mengi sana!
hawa watu wapumbavu sana,utaendaje kutoa rushwa wrewe mwenyewe personal,like an idiot?.
sijui kwanini hawamwigi lowasa,kama unataka kutoa rushwa tumia wapambe daaaamn....